GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

Sio majizo tu,sababu ya majizo kumtosa hamisa ni utulivu ziro,kana wanaume wengi. Ule moto wake wa kujiweka karibu na dai ni kutaka kudaka madili ya zari danube ila ndo hivyo tena kaambulia kudhalilika.sio mashost tu hata mama ake ni wale wale wanaoishi mjini kwa kudanga

Lulu hajatulia kabisaa ila anaigiza kutulia. Tatizo mastaa wa bongo mashauzi mengi sana kujiweka juu wakati sio level zao. Jaribu kumpa dili model wa kitanzania kama hatachelewa kwenye shughuli basi hatatokea kabisaa kwa visingizio mia kidogo
kwahiyo alikuwa anadate na majizo na diamond pamoja?
Nafikiri mashoga zake wenye akili fupi ndio wanampoteza.

Kwasasa Staa ambae naona kaamua kubadili mfumo wa maisha yake ni Lulu, Akitulia atakuja kuwa Zari wa baadae
 
Sio kwamba hufuatilii ila unataka kusikia na kuona unachokipenda
 
Zari ni Mtanzania pia,
Mwanamume mtanzania akimuoa msichana wa nchi nyingine basi msichana huyo huwa Automatikali Raia wa Tanzania.
Ila Raia mwanamue wa nchi nyingine akimuoa msichana mtanzania, hawi raia wa Tanzania, inaogopwa kuwa watu ambao sio raia wasijetumia njia ya kuoa kupata uraia.
Zari Hassan ni Raia wa Tanzania wa kuolewa.
Kuna uraia wa Kuomba, Kuzaliwa, Kurithi, Kupewa, Kuwa Tanzania kabla ya Uhuru wa Tanganyika, na Kuolewa.

Zari ni Mtanzania wa Kuolewa.
Msimbague ni Mtanzania mwenzenu.

Zari Ze Boss Lady.
Zari ameolewa na Mtanzania yupi?
 
angepewea Lemtuz super model [emoji2][emoji2]
 
Hiyo tuzo anayowania sijui super mom alitakiwa apewe tuzo ya Mchepuko bora wa mwaka, yani apewe bila kupingwa....miaka tisa yupo na diamond, diamond akawa na wema, na penny, na jokate na zari ye yupo tu kafichwa kama makalio, hapandi hata cheo, cheo kile kile cha mchepuko
Hamisa anastahili tuzo
Halafu hiyo miaka tisa akazaa na majizzo duuu au na yule ni mtoto wa Diamond? kama kuna tunzo ya uongo nayo apewe....
 
Eti kina odemba chaaaa yani hao wahenga wa sabuni za revola leo waje waibuke tu kwenye madeal ya kizazi kipya teh
Odemva namuona anacohangaika kwenye page za udaku zinazompinda Zari. Kwenye post za mange zote anazomtukana Zari odemba analike na kukoment. Anasahau kuwa jua limeshazama. Afu kwa mtu exposed kama yeye anakuaje mswazi jamni???!!
 
Zari Mwenyezi Mungu kamjalia uzuri na akili pia. Mwache tu awe juu. Hawa celebrities wetu badala ya kumshambulia ili wamshushe wajitahidi kujifunza toka kwake ili waweze kufikia level yake au kuikaribia..
Mkuu kuna mahala nimesoma sijui kama kweli 'bashite' yumo kwenye hili. Anapanga na kuamua gsm ndani ya mifuko yake ya surualeee! Kama ni kweli basi giza tupu.
 
Halafu hiyo miaka tisa akazaa na majizzo duuu au na yule ni mtoto wa Diamond? kama kuna tunzo ya uongo nayo apewe....
😀😀😀😀😀
Afu ana mbwembwe za kujifanya anawapiga vijembe wanaomzalisha wakati ndo wanamuweka mjini.
Enzi za majizo akaandika caption kwenye picha ya mtoto "wewe kwangu ni zaidi ya maji"
Juzi kaandika "wewe kwangu ni zaidi ya almasi"
Next mtoto akizaa na chidy Benz ataandika "wewe kwangu ni zaidi ya Benz "😀😀
 
Odemva namuona anacohangaika kwenye page za udaku zinazompinda Zari. Kwenye post za mange zote anazomtukana Zari odemba analike na kukoment. Anasahau kuwa jua limeshazama. Afu kwa mtu exposed kama yeye anakuaje mswazi jamni???!!
Atulie muda wake ushaisha bila shaka anakaribia kupata wajukuu make ni wa miaka mingi
 
Hzo ni mbinu za biashara,c dharau inatakiwa uchague alye kwenye chat kw wkat huo,tofautsha chuki na biashara
 
😀😀😀😀😀
Afu ana mbwembwe za kujifanya anawapiga vijembe wanaomzalisha wakati ndo wanamuweka mjini.
Enzi za majizo akaandika caption kwenye picha ya mtoto "wewe kwangu ni zaidi ya maji"
Juzi kaandika "wewe kwangu ni zaidi ya almasi"
Next mtoto akizaa na chidy Benz ataandika "wewe kwangu ni zaidi ya Benz "😀😀
hahahaha halafu nasikia hata wanapo ishi majizo hutoa kodi....na mtoto ana muhudumia kila kitu tena kwa hali ya juu....
 
DUH KUMBE BADO WAJINGA WAPO!!! SIASA YA UJAMAA ILITUHARIBU SANA.DUKA SIO LAKO UNAWAPANGIA NINI.HIVI HATA KAMA UNA AKILI KATI YA ZARI NA WEMA AU ZARI NA GMONEY UNGEMWALIKA NANI.SASA HATA WEWE AMBAYE UMEJAA USHAMBA MBONA UMEJUA SASA KUWA KUNA DUKA LINAFUNGULIWA GSM.WAMWALIKE STEVE NYERERE KWANI WANAFUNGUA DUKA LA MITI SHAMBA.BONGO MOVIE KAMA WANASHINDWA KUUZA MOVIE ZAO WATAWEZAJE KUKUTANGAZIA BIASHARA YAKO.GSM HAJAWADHARAU WASANII WETU ILA WASANII WAMEJIDHAURISHA WENYEWE NA KUJISHUSHA THAMANI WENYEWE.ZARI NI BRAND KAMA HUJUI KAMA KAWEZA KUFUNGUA MADUKA YAKE HUKO AFRIKA KUSINI AMBAKO SIO ALIKOZALIWA NA AKAFANIKIWA ATASHINDWAJE KUWA BALOZI KWENYE NCHI YA MME WAKE.WATANZANIA TUBADIRIKE NA BIASHARA INAENDA KASI SANA TUKIBAKI NA MAWAZO MGANDO YA ENZI ZA UJAMAA TUTABAKI NYUMA SANA.
Well said...
 
East Africa ni moja kibiashara zari wifi wa taifa ao wakaa uchi mitandaoni na wanaopenda kupost picha wapo vitandani uchi acha waendelee na hizo drama wenye akili mnao sema wazee acha wale madili manono ya pesa afu tusipangiane maisha mpambane na hali zenu.
 
Back
Top Bottom