Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
TAZAMA Mwenyewe Zari The Boss Lady Ilivyokuwa Shangwe katika uzinduzi wa Mall | Dar Es Salaam
Aisee!!! Wabongo sie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAZAMA Mwenyewe Zari The Boss Lady Ilivyokuwa Shangwe katika uzinduzi wa Mall | Dar Es Salaam
Acha zako chuki za kishamba...The point kuwa humpendi Zari iko wazi why hide behinds the fact,,,Economic grounds!?
Bongo mtu akiwa na account insta, akapiga picha kavaa kichupi tu huyo tayari modelacha ujinga ww! unampangia mtu matumiz ya pesa zake? bongo kwanza hamna models apa wote wajinga tu, acha watu wanaojitambua wagonge mashavu tu
Hahahahaa!! Bifuulitaka akazindue polepole
Teh teh teh teh teh teh cc Giggy MoneyBongo mtu akiwa na account insta, akapiga picha kavaa kichupi tu huyo tayari model
Watu wanafanya smart business na smart people. Zari ana trend, reputation na ana influence zaidi kimataifa hata kwa corporates ni rahisi kampuni kukubalika huwezi fananisha na wapuuzi wengi wa kibongo ambao wana umaarufu wa kufanya vitu vya kipumbavu kama kina Giggy money!Kwani model wet wanaweza pata nafasi hiyo Uganda [emoji1254] tupendane jamani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Au akamfuate Mange hukoooo.!kampuni ni yao
wanamchagua mtu wao
anzisha duka lako afungue Ebitoke
kama dada zetu hawajielewi tufanyeje mkuu?kil
kila kitu anachofanya huyu dada anazidi kutuaibisha sisi wabongo na anampa sababu ya Diamond kuzidi kudharau dada zetu.ushamba mzigo na mama yake naye sijui ni mama wa taarabu kumbe lidada lenyewe ni used.ZARI NI MASHINE KUBWA NA BIASHARA ZAKE ANAWEZA AKAMTUNZA HAMISA NA MTOTO WAKE NA MAMA YAKE MPAKA WAZEEKE
Nasikia anamiaka 24, so ukitoa 9 alikuwa na miaka 15.Alitegemea akizaana dai mtoto wake atapata ubalozi wa danube,jana pia kajichoresha vibaya kawaita shilawadu na kusema alikua na mahusiano na chibu kwa miaka 9 hapo ni kama anataka kushindana na zari. Zari angekua mmama wa kibongo baada ya cheating angevunja mikataba ya akina tiffa akizan anamkomoa baba mtu
Inaonekana una akili km za hamisa mobettoNashukuru Mkuu nawe una liona sawa na ninavyoliona Mimi
Zari ni Mganda kwa nini GSM inakataa kuwashirikisha models wa Tz wakaamua kumchukua mtu wa nje ya Tz
Uzalendo uko wapi?
Kuna watakaosema sijui Kidhungu blah blah ! that's full of bs!
Matangazo ya biashara ndani ya Tz Models toka nchi jirani WHY N HOW?
DANUBE wapeni support models wa Tz sio huu ushabiki maandazi!
tuletee hao model tuwachambue sasaMkuu ni Wema tuuuuuu ndiyo model ndani ya Tz?
Let's be serious!
Wapo wengi mbona Flavianna Miriam Odemba etc
Let's get to a point tuvipende vya kwetu tuvithamini tuviendeleze
Pesa atakayolipwa Zari haitabaki Tz itaenda South Africa au Uganda lakini kama ingekuwa ni Mtanzania pesa itabaki Tz. Hili naona wengi hawalioni.... Ni wazo tu!
😀😀Mtu anaweza kuhisi Matola ndio Mange Mwenyewe....ni hisia tu lakini.!
MATOLA ANA SHOMBO KAMA MANGE.WANGESHIRIKIANA MATOLA, MANGE NA LE BAHARIA😀😀
Ngoja baba samira aone hapa utamkoma ha ha ha
Eti kina odemba chaaaa yani hao wahenga wa sabuni za revola leo waje waibuke tu kwenye madeal ya kizazi kipya tehtuletee hao model tuwachambue sasa
Gigy? amber lulu? wolper? wema?
huyo hata simjui. Ndo namsikia kwako.Eti kina odemba chaaaa yani hao wahenga wa sabuni za revola leo waje waibuke tu kwenye madeal ya kizazi kipya teh
Gigy, amber, sanchoka, hamisa ndo mamodo hao tehTeh teh teh teh teh teh cc Giggy Money
AU WALITAKA GMONEY AJE ATUVULIE CHUPI GSM!! DADA WA SINGELI WAKAFUNGUE MZIKI MNENE NA VIBANDA UMIZA VYA KIBITI.HAWANA MVUTO WA BIASHARA KAMA WAMESHINDWA KUUZA MOVIE ZAO SASA WATAUZA NINI TENA.CHUPI YA GMONEY TULISHAIONA WOTEEti kina odemba chaaaa yani hao wahenga wa sabuni za revola leo waje waibuke tu kwenye madeal ya kizazi kipya teh