Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha Miriam Odemba alikua mwanamitindo miaka hiyoooo miaka yetu wahengahuyo hata simjui. Ndo namsikia kwako.
Kwasasa kama Elizabeth Michael akitulia vizuri na kuachana na makiki ya kisengee atakuja kuwa Zari wa baadae
Kwa hiyo iko dhahiri kuwa sisi tulio wengi ni washamba na hatujithamini wenyewe. Tutafika kweli?sababu ni moja tu...ni mpenzi sijui mke wa diamond....kama unavyojua dai ndio celeb mkubwa hapa Africa mashariki!.
yaani zari kabla ya dai huko insta alikuwa na followers hata elfu kumi hawafiki...ila alipotua ktk mikono salama ya dai watz walimfolo kama mvua na ndio maana akipost kitu comment 90% ni za kiswahili cha tz! wakati waganda hawazungumzi kiswahili
Huyu jamaa alikua na heshima yake lakini naona akina gigy money washamuambukiza ujingaHuna muda wa kudiscuss drama za watu wakati maongezi yako tu yanaonyesha hata Mange Kimambi ni mwanafunzi wako
Nasikia anamiaka 24, so ukitoa 9 alikuwa na miaka 15.
Anaonekana umalaya alianza tangu shule.
Hafai.
Matola: hakuna uzalendo hapo huo ni ubaguzi na kutokuelewa kampuni ilianzia wapi, imefikaje hapo ilipo lakini unataka uwapangie cha kufanya kwa taarifa yako hakuna modal anaetrend tanzania sana kuliko zariMimi nilishapambana siku nyingi kabla wewe haujaupata huu msamiati, sasa hivi naishi sina cha kupambania.
Uzalendo kwanza.
Ilitakiwa uiweke vingine. Zari ana mtumia Diamond kupata profit ya watanzania. Hivi hamkulitambua hilo? Hiyo inaitwa Marketing strategy. Kweli IQ yetu imelala. Kwa nini hasa? Chanzo ni nini?Tatizo bado liko palepale IQ za Watanzania ndio tatizo kubwa, kwahiyo huyu Zari ana benefit kwa Diamond out of uhawara wao?
Angalau umenifumbuwa macho nimeanza kuelewa maana mimi Insta nimejiunga kwa ajili ya yule dada yetu kipenzi ili nisipitwe na series zake na mitusi yake. Otherwise sina la zaidi kwenye Insta.
Saaaaaaawa😀😀😀😀
kwahiyo alikuwa anadate na majizo na diamond pamoja?Ndani ya hio miaka 9 alipata mtoto wa kike wa majizo. Bado skendo za kutembea na mwami na wengineo aiseee njia ya mwongo daima huwa fupi
Unaakili wewe kweli? Hujui nini kina endelea ulimwenguni. Nafikiri huo uzi wewe huja uelewa. Umesha wahi msikia Donald Trump na slogan yake ya " America First?" Jiulize nini maana ya hii slogan yake.Jichunguze mkuu,una roho mbaya tena imejaa ubaguzi na watu kama wewe ndio mnaosababisha dunia iwe mahali pabaya pa kuishi.
[emoji16][emoji16][emoji16] Ni kweli serikali ya Nyerere na mwenge wake inawezekana wamesha wahi. Ndiyo maana tuko hivyo.
Zari je hana?Kwahyo ulitaka afunguwe BINTI KIDOMO?tatizo la dada zetu wa kibongo heshima hawana,,,wao wanaona kuwa na msururu wa MADUME NDY UMAARUFU kumbe ni KASHFA TU
Hiyo tuzo anayowania sijui super mom alitakiwa apewe tuzo ya Mchepuko bora wa mwaka, yani apewe bila kupingwa....miaka tisa yupo na diamond, diamond akawa na wema, na penny, na jokate na zari ye yupo tu kafichwa kama makalio, hapandi hata cheo, cheo kile kile cha mchepukoNdani ya hio miaka 9 alipata mtoto wa kike wa majizo. Bado skendo za kutembea na mwami na wengineo aiseee njia ya mwongo daima huwa fupi
Usione lila hoja ya kuwa against ni chuki. Saa nyingine inaweza ikawa jaribio la kutaka kuwa promote our Models! Sio mbaya vile vile.Pambana na maisha yako kijana,achana na vitu visivyo na tija kwako, unajitesa bure kijana. Chuki ni mateso makubwa.
Wasiojua cha kufanya sawa. Lakini sio wanaume. Hawana time na vitu kama hivyo.Hadi Wanaume tumejiunga na dada zetu
Wa matako.Huyu Gigy money huwa ni msanii wa nini?