Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kuna magonjwa ya dini?Hzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Ni sayansi ndogo, mpira unalipa, Mpira ni bizness , kila timu uliyodhamini inavyopanda juu kwa mafanikio na bizness zako zinapanda, unatajwa sana na bizness ni matangazo hivyo pesa ya mdhamini lazima itoke ili pesa zaidi ije na huku ndiko Lucifer alipoweka makazi !!Kwenye mipira tu watu hela wanatoa kwengineko jiiiii
Ova
Pambaneni na hali yenuTayari washaingia uoga
Huo ni utabiriAkiongea hivi tu, huwa safari ndio inaishia hapo... Ngoja tuone
Ukisikia shobo ndio hiyo sasa.Hzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Ushauri mzuri sanaNi sayansi ndogo, mpira unalipa, Mpira ni bizness , kila timu uliyodhamini inavyopanda juu kwa mafanikio na bizness zako zinapanda, unatajwa sana na bizness ni matangazo hivyo pesa ya mdhamini lazima itoke ili pesa zaidi ije na huku ndiko Lucifer alipoweka makazi !!
ila katika maisha ya kawaida kutoa mf msaada kwa mtu ni kupunguza ulicho nacho na kihisia inauma kwa ndani na ni kitu binadamu hapendi hadi umlazimishe, asili ya binadamu ni kumiliki (Maslow theory) hata umpe dunia nzima bado hatoridhika , sasa unapotoa msaada unapunguza ulichonacho na kwa ndani lazima ikuume sana na ukiona inauma ndio ubinadamu kamili, inauma kwa sababu hupati return, ni tofauti na kutoa pesa na ukapewa kitu mfano ukaenda kkoo ukatoa pesa ukapewa simu. Ukitoa msaada imeenda hiyo , wewe hupati kitu in return in real life, secular definition ( humans are selfish in nature). Suala la kuamini Allah atakupa zaidi unapotoa msaada si la kuona kwa macho (not a positivist approach phenomenon ) na si la kulazimisha kila mtu aamini hasa kwa wasioamini Mungu haliwahusu.
Kuomba omba msaada ni hatari sana kisaikolojia inajenga utegemezi na kila mtu unavyoomba msaada na kupewa unazidi kuomba daily hadi unawakera unaowaomba japo hawatakwambia na usichokijua unavyozidi kuomba ndio unadidimia kwenye umaskini wa kutupwa hadi itafika stage kufanya ni haki yako kupewa kila unapoomba.
Tuwakataze watoto kuombaomba watakuwa wajinga na maskini
Viva GSM.Mungu ampe maisha GSM, hata kabla ya hiyo ahadi aliyotutendea Yanga ni makubwa.
Tunashukuru.
Tafuta na wewe pesa ili uwasaidie hao wagonjwa wanaokaribia kukata roho.Huyo anayetoa hiyo hela umwambie kuna watu 100 kule wanakaribia kukata roho kwa kukosa fedha Za kulipia matibabu hawezi kukuelewa
Huku ni kubadili gia angani sasa!Kila la kheri chama langu Young Africans sc💛💚
Hata msipofunga tumeshavuka malengo ya makundi mpaka robo!
#DaimaMbele #NyumaMwiko 💚💛💚💛
Kuhusu Simba, kamwe simuombei mema, apasuke vizuri tu.Hata miye natamani WOTE tuende nusu Ili kombe libaki bongo
Kujenga hospital ni kazi ya serikali
Kuwa mzalendo ndugu. Tuziombee heri timu zote. Zote zikifanya vizuri heshima itakuwa kwa Watanzania wote.Kuhusu Simba, kamwe simuombei mema, apasuke vizuri tu.