Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Hahaha ili wafe kiume maana uwongo dhambi yanga mdakaji wa penalty pale hawanaNa wakifunguka wasake goli shida nyingine, hapa wakaze tu waende 0 0 waingie penati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ili wafe kiume maana uwongo dhambi yanga mdakaji wa penalty pale hawanaNa wakifunguka wasake goli shida nyingine, hapa wakaze tu waende 0 0 waingie penati
Kwahiyo zile hela wanazotoa CAF kumbe anapokea yeye !Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576
Ww unajua mahali gani au wenye akili ni wawili tuLeta Ushaidi
TehKila laheri chama la ushindi
Bado haujacheka.....kesho utacheka sanaa, ubuntu botho
Bila shaka utoBado haujacheka.....kesho utacheka sanaa, ubuntu botho
Kwanini achukue yeye wakati si kiongozi wa Yanga ?Ndiyo
Kama za Simba anavyopokea za Simba
Ahaaaaa
Kwa mabao hayo tunakuwa tumefuzu kwa magoli mengi ya ugenini
Tukifungwa 2-1
Tunaenda penati
Na hela tunapata
Jifunze zaidi kuhusu sheria ya goli la ugenini.Hayo yote uliyoyasema sio ya kwelI.Ni tabia ya kupenda kuelekeza jambo bila kuwa na uelewa nalo.4-3
Tunaendam kwakuwa tumefunga magoli mengi ya ugenini
Kujenga hospital ni kazi ya serikaliHzo pesa awape bakwata wajenge hospitali kubwa
Unasema???? Mabao ya mpira weweMabao yangekua yananunuliwa hivi wanaume wangekua matajiri kufuru....!
GSM anajua hakuna goli atakalofunga yanga Kwa hiyo Hana Cha kupoteza hata akiweka dau kubwa!! angeweza kuweka hata bilioni bila stress!!Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576
Ebu fafanuaJifunze zaidi kuhusu sheria ya goli la ugenini.Hayo yote uliyoyasema sio ya kwelI.Ni tabia ya kupenda kuelekeza jambo bila kuwa na uelewa nalo.
Kama kitu hujui uwe unasema hujui.Ukijibu kama unajua uwe unajua kwa uhakika unaotokana na kujielimisha sio kwa kubumba au kwa hisia zako tu.....