GSM: Kila bao atakalolifunga Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns nitalinunia kwa Tsh. 100M

GSM: Kila bao atakalolifunga Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns nitalinunia kwa Tsh. 100M

Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi

Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi

Mwenye nacho ataongezewa

Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha

Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama

Yanga hatunaga dogo

Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake

GGyangaView attachment 2953576
Kwahiyo zile hela wanazotoa CAF kumbe anapokea yeye !
 
Niseme tu hii sio rahisi kama ambavyo watu wanajinadi, kama tulishindwa kuwafunga Mamelod hapa hongo basi tusitegemee ushindi kule kwao
 
Kwa ujinga huu hatutakaa tuendelee kisoka huwezi sikia Manchester city au liverpool wanaahidiwa upuuzi huo maana ni sehemu yao ya kazi politics everywhere.
 
Ahaaaaa

Kwa mabao hayo tunakuwa tumefuzu kwa magoli mengi ya ugenini

Tukifungwa 2-1

Tunaenda penati

Na hela tunapata

4-3
Tunaendam kwakuwa tumefunga magoli mengi ya ugenini
Jifunze zaidi kuhusu sheria ya goli la ugenini.Hayo yote uliyoyasema sio ya kwelI.Ni tabia ya kupenda kuelekeza jambo bila kuwa na uelewa nalo.

Kama kitu hujui uwe unasema hujui.Ukijibu kama unajua uwe unajua kwa uhakika unaotokana na kujielimisha sio kwa kubumba au kwa hisia zako tu.....
 
Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi

Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi

Mwenye nacho ataongezewa

Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha

Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama

Yanga hatunaga dogo

Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake

GGyangaView attachment 2953576
GSM anajua hakuna goli atakalofunga yanga Kwa hiyo Hana Cha kupoteza hata akiweka dau kubwa!! angeweza kuweka hata bilioni bila stress!!
 
Jifunze zaidi kuhusu sheria ya goli la ugenini.Hayo yote uliyoyasema sio ya kwelI.Ni tabia ya kupenda kuelekeza jambo bila kuwa na uelewa nalo.

Kama kitu hujui uwe unasema hujui.Ukijibu kama unajua uwe unajua kwa uhakika unaotokana na kujielimisha sio kwa kubumba au kwa hisia zako tu.....
Ebu fafanua
 
Back
Top Bottom