GSM, Mshindo Msola tuachie Yanga yetu

GSM alipooona Mtapiga Mayowe kwenye issue ya kambi akaamua kuja na issue ya Zezeta ili muache ypte mjadili ujinga eti semaji. Hakuna kitu kinaitwa Msemaji. Unasema nn je Pale Aseno kuna msemaji?

Ujinga ujinga wa Msemaji ndio mlikua mnashadadia hamuandai team. Kisayansi mnadhani mnaweza kushinda kwa mtu mmoja mwenye njaa anapowambia ohh team kubwaa hii. Team Kubwa Manake nini?? Kama haishindi?

Ili uwe mkubwa wapige wakubwa sio talalila
 
Maamzi ya hasira za kufungwa haya, kunywa maji baridi kwanza kisha tafakari upya.
 
Mshatuona limbukeni kwa kupania mechi ya Simba tu.
Maandalizi ya nje ya uwanja mnafanya mkicheza dhidi ya Simba tu, hivi hamjui mpira wa kiafrika ni fitina?
Hamkumuuliza hata Manara wenzenu walikuwa wanafanyaje?
Mkuu, watammuulizaje Haji wakati alishawaaminisha kuwa Simba ilikuwa haina lolote?
 
Mo na GSM wote matapeli tu

Ingawa Simba na yanga mashabiki wake ni misukule mpaka timu ifanye vibaya ndio washutuke.
Mo anawekeza benchi la ufundi,timu ipate matokeo aendelee kupiga hela.
Gsm anawekeza kwenye prapaganda ili auze jezi aendelee kukuza brand ya gsm.
 
You guys needs to organize your club contemporaly.
1. Governance - Msola & Team.
2. Management - Aachiwe Kocha.
3. Financers - GSM + Other. Bring in more financers, this depending on GSM is a high risk option.
Sports team haiongozwi hivyo.
Plus Yanga ina Sportspesa, Azam TV , Uhai and other sources. Haitegemei GSM peke yake.
Jumapili ijayo nao wanaweza wakakalishwa kwao. Football ndiyo ilivyo na wala wala hawajawazidi Yanga kwa chochote cha maana, same tactics kama walizotumia Mwadui nao wametumia hizohizo.
Yanga wanafungwa magoli yaleyale na wanaweka mabeki walewale wasiotaka kujifunza.
 
Sasa nini kinasababisha GSM wanajihusisha na mambo yasiyo wahusu? ni Kazi ya Financer kutafuta na kusajiri wachezaji? au na hao Sportspesa na wao wameleta wachezaji wao?

Mleta mada analalamika namna matendo ya GSM yanavyohasiri ufanisi wa timu, mimi nimeelezea wanatoa wapi hizo guts.
wewe unasema sports team haiongozwi hivyo?

Uliwasikia TeamViewer wameweka kambi lisboni kusakanya sign ya lonardo?
 
Mo anawekeza benchi la ufundi,timu ipate matokeo aendelee kupiga hela.
Gsm anawekeza kwenye prapaganda ili auze jezi aendelee kukuza brand ya gsm.
Asanteeee

Agiza kinywaji huko ulipo nkuja lipa

Ova
 
Nilisema hili kwenye group wakanitoa lakini tutaelewa tu kwamba GSM ndio tatizo pale
 
Hakuna wanachokifanya zaidi ya maigizo.
Waondoke mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi. Tunaelekea kutolewa kimataifa na huenda tukakosa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya tano mfululizo!
GSM ni mdhamini lakini kashika masuala yote ya Yanga hasa vyanzo vinavyoingiza hela
 
Huyo ni Yanga lia lia ,ni mwenzako
 
aisee sasa nimeanza kumuelewa mo jamaa yupo serious sana
haiwezekani timu ikae siku nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…