GSM, Mshindo Msola tuachie Yanga yetu

GSM, Mshindo Msola tuachie Yanga yetu

GSM alipooona Mtapiga Mayowe kwenye issue ya kambi akaamua kuja na issue ya Zezeta ili muache ypte mjadili ujinga eti semaji. Hakuna kitu kinaitwa Msemaji. Unasema nn je Pale Aseno kuna msemaji?

Ujinga ujinga wa Msemaji ndio mlikua mnashadadia hamuandai team. Kisayansi mnadhani mnaweza kushinda kwa mtu mmoja mwenye njaa anapowambia ohh team kubwaa hii. Team Kubwa Manake nini?? Kama haishindi?

Ili uwe mkubwa wapige wakubwa sio talalila
 
Maamzi ya hasira za kufungwa haya, kunywa maji baridi kwanza kisha tafakari upya.
 
Mshatuona limbukeni kwa kupania mechi ya Simba tu.
Maandalizi ya nje ya uwanja mnafanya mkicheza dhidi ya Simba tu, hivi hamjui mpira wa kiafrika ni fitina?
Hamkumuuliza hata Manara wenzenu walikuwa wanafanyaje?
Mkuu, watammuulizaje Haji wakati alishawaaminisha kuwa Simba ilikuwa haina lolote?
 
Mo na GSM wote matapeli tu

Ingawa Simba na yanga mashabiki wake ni misukule mpaka timu ifanye vibaya ndio washutuke.
Mo anawekeza benchi la ufundi,timu ipate matokeo aendelee kupiga hela.
Gsm anawekeza kwenye prapaganda ili auze jezi aendelee kukuza brand ya gsm.
 
You guys needs to organize your club contemporaly.
1. Governance - Msola & Team.
2. Management - Aachiwe Kocha.
3. Financers - GSM + Other. Bring in more financers, this depending on GSM is a high risk option.
Sports team haiongozwi hivyo.
Plus Yanga ina Sportspesa, Azam TV , Uhai and other sources. Haitegemei GSM peke yake.
Jumapili ijayo nao wanaweza wakakalishwa kwao. Football ndiyo ilivyo na wala wala hawajawazidi Yanga kwa chochote cha maana, same tactics kama walizotumia Mwadui nao wametumia hizohizo.
Yanga wanafungwa magoli yaleyale na wanaweka mabeki walewale wasiotaka kujifunza.
 
Sports team haiongozwi hivyo.
Plus Yanga ina Sportspesa, Azam TV , Uhai and other sources. Haitegemei GSM peke yake.
Jumapili ijayo nao wanaweza wakakalishwa kwao. Football ndiyo ilivyo na wala wala hawajawazidi Yanga kwa chochote cha maana, same tactics kama walizotumia Mwadui nao wametumia hizohizo.
Yanga wanafungwa magoli yaleyale na wanaweka mabeki walewale wasiotaka kujifunza.
Sasa nini kinasababisha GSM wanajihusisha na mambo yasiyo wahusu? ni Kazi ya Financer kutafuta na kusajiri wachezaji? au na hao Sportspesa na wao wameleta wachezaji wao?

Mleta mada analalamika namna matendo ya GSM yanavyohasiri ufanisi wa timu, mimi nimeelezea wanatoa wapi hizo guts.
wewe unasema sports team haiongozwi hivyo?

Uliwasikia TeamViewer wameweka kambi lisboni kusakanya sign ya lonardo?
 
Mo anawekeza benchi la ufundi,timu ipate matokeo aendelee kupiga hela.
Gsm anawekeza kwenye prapaganda ili auze jezi aendelee kukuza brand ya gsm.
Asanteeee

Agiza kinywaji huko ulipo nkuja lipa

Ova
 
Baada ya kuangalia mechi yetu ya leo haya ndo mawazo/maoni/maswali na mapendekezo yangu

1. GSM kupitia Hersi Said kwanini wanahusika kwenye usajili wa wachezaji? Yani Hersi ndo scout wa Yanga, tangu lini akasomea fani hiyo?

2. Kwanini GSM amekuwa mtendaji wa Yanga? Vitu kama wiki ya Mwananchi karatibu yeye na mapato kachukua yeye, mishahara analipa yeye na mechi na maandalizi yake anafanya yeye, Hii ni sawa?

Matokeo yake timu imekosa weledi kabisa. Mfano, kambi ya Morocco ilikuwa na faida gani zaidi ya utalii?
Mchezaji wa kwanza kusajiliwa anakosaje ITC?

Nguvu iliyowekwa kwenye tamasha la Mwananchi kwanini haikuwekwa kwenye kuandaa timu?

Mshatuona limbukeni kwa kupania mechi ya Simba tu.
Maandalizi ya nje ya uwanja mnafanya mkicheza dhidi ya Simba tu, hivi hamjui mpira wa kiafrika ni fitina?

Hamkumuuliza hata Manara wenzenu walikuwa wanafanyaje?
Matokeo yake kimataifa hatuna tunalolifanya zaidi ya kuaibisha nchi.

Sisi ni wa kuzidiwa na Biashara?
Miaka minne timu haina hata ubingwa wa nchi afu eti tujivunie uwepo wenu kweli?

Haya yote yanafanyika Mshindo Msola yupo. Nafasi yake kama mwenyekiti ina maana gani?
Yani Hersi ana nguvu kuliko Msola?
Bwana Msola tunaomba utupishe haraka kabla hatujachukua hatua. Wewe uko ndani ya uwezo wetu. Kwenye uchaguzi huwezi shinda .

GSM tuachie Yanga yetu. Jezi tutawapa wengine. Kuitumia timu yetu kibiashara huku matokeo uwanjani yakiwa sifuri sasa basi.

Bora timu iendeshwe kwa michango kuliko uwepo wenu.
Kashfa zenu tunazijua ila tulikuwa tumewastahi tu.

Nb: Soma hii;


Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)
Nilisema hili kwenye group wakanitoa lakini tutaelewa tu kwamba GSM ndio tatizo pale
 
Acha inyeshe tujuwe panapo vuja.
Screenshot_20210912-202227_1.jpg
 
Hakuna wanachokifanya zaidi ya maigizo.
Waondoke mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi. Tunaelekea kutolewa kimataifa na huenda tukakosa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya tano mfululizo!
GSM ni mdhamini lakini kashika masuala yote ya Yanga hasa vyanzo vinavyoingiza hela
 
Yanga haina mwanachama wala shabiki wa ovyo ovyo kama wewe, ayo mambo kamwambie mo ndo awaachie timu yenu, unajivika uyanga unatuandikia upuuzi wako apa, tuonyeshe kadi yako ya uanachama ni ngapi, mambo ya yanga waachie wanayanga ayakuhusu propaganda za kijinga hizo kamwambie babra na kanjibhai wenu mo uko
Huyo ni Yanga lia lia ,ni mwenzako
 
aisee sasa nimeanza kumuelewa mo jamaa yupo serious sana
haiwezekani timu ikae siku nne
 
Back
Top Bottom