Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..halafu watu wanapondq masingle maza ,wakati ndio wako ktk soko sasa hzUjinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.
Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.
Njoo nikuhonge mrembo.Unasemaje wanaume wameisha ulitafuta bwana ukakosa
Ni timing za Mobeto tu mwenyewe tu ashajua Aziz ki anasaini mkataba mpya GSM hawahusiki, aziz ki akae mbali na hivi vidada vya mjini vinavyoishi kwa kudanga(tatizo mwanaume wa kiafrika akipata hela kwenye suala la ngono hauwezi kumshauri chochote)Ni kweli kabisa!
Nimeona jinsi Hamisa Mobetho anavyolitumia jukwaa kumuweka karibu Aziz ki katika matukio matatu viwanjani hivi majuzi na ieleweke kwamba GSM na JK wanaitumia Yanga kuwa karibu na CCM Samia ili watimize malengo yao kule Bandarini.
na majuzi.
Hata ungekuwa wewe ndugu yangu ungefanyaje,asipoangalia hela zote ataziacha TanzaniaNi timing za Mobeto tu mwenyewe tu ashajua Aziz ki anasaini mkataba mpya GSM hawahusiki, aziz ki akae mbali na hivi vidada vya mjini vinavyoishi kwa kudanga(tatizo mwanaume wa kiafrika akipata hela kwenye suala la ngono hauwezi kumshauri chochote)
Fact is D mbili hata kwa elimu ya bongo haidhaminiki means wanaoipata ni lowest thinkers. Na si kila unachofikiri kiko hivyoKama unazo hizo zinatosha kuelewa codes mbalimbali
Hahahahaha...ila bongo masingle maza masupa staa wanapendwa sana na vijanaKwa Hamisa tunatengua kanuni ya kuwa single maza hawafai
Kutoka chanzo nyeti kiasi Kwamba wakituambia kesho tunakufa tutaanza kufanya sala ya Toba [emoji2957][emoji2960]Ujinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.
Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.
Unadhani watumie njia gani itakayo kufurahishaUjinga mtupu hata tu kufikiria hili, Hamisa yupo na mkubwa pale Yanga achaneni na mapicha picha ya kiki za mitandaoni, Hamisa anapenda kiki Aziz nae ni walewale anapenda mitandao kupita kiasi.
Ikiniwia vyema nitawaletea exclusive ya anayetoka naye, anzeni kumuita Mrs. Yanga kabisa.
Unanifurahishaga sana Mkuu. LolsKutoka chanzo nyeti kiasi Kwamba wakituambia kesho tunakufa tutaanza kufanya sala ya Toba [emoji2957][emoji2960]
Usisahau kunitag Madam
Sijakuelewa Mkuu.Unadhani watumie njia gani itakayo kufurahisha