moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Milioni 5?Kwa io unataka kusema hamisa akimchuna Aziz k lets say ka milioni 5 anatakiwa kukapeleka GSM?
Mkuu watu wanafirisika kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milioni 5?Kwa io unataka kusema hamisa akimchuna Aziz k lets say ka milioni 5 anatakiwa kukapeleka GSM?
Wanawake waogope.Kama ndivyo, wanawake mko na roho ngumu sana 😆
Hao ni mbumbumbu Mkuu,wanatapatapa.GSM hategemei hata project ya yanga, Wana hela more than they can remember, Hawa wamejikita kwenye mpira kulinda maslahi yao tu
Kwa io unataka kusema hamisa akimchuna Aziz k lets say ka milioni 5 anatakiwa kukapeleka GSM?
Tumia akili mnemboSijakuelewa Mkuu.
Ni hatari sana , wanawake....🙌🙌🙌Wanawake waogope.
😂😀👍😅Sasa Hivi Aziz Maji Ataita MmaaHakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.
GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.
Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
Wachangamsha magenge ya udakuKwani huyo Aziz na Mobeto ndio kina nani huko Daslam?
Tumia akili mnemboSijakuelewa Mkuu.
Gs vp ina D?Hakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.
GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.
Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
Kwa maana hiyo Aziz ki ni boya 🤣🤣delila hamisa mobeto anatumika kumbakisha ki yanga. Delila atafanikiwa
Wema alikula milioni 400 out of 500ml za Idris SultanAziz Ki anataka Dollar 500k za marekani ili asaini hivi Kweli atamuonga hamisa Dollar 250k? Zaidi ya million 600 za kibonge??
Watanzania wanahitaji elimu kuliko oxygen [emoji16][emoji2960]
Una uhakika gani hadi kuandika tuhuma nzito kama hii, na umetaja kabisa majina ya watu!! Huu ujuaji utamponza mtu siku, imagine mobeto au GSM akienda polisi, si utaisha wewe maana pesa ya fine yenyewe labda hauna, ya nini kuleta ujuaji uishie jelaHakuna mapenzi ya kweli pale bali ni project ya GSM. Aziz Ali Ki anataka mpunga mrefu sana toka GSM ili asalie mitaa ya jangwani.
GSM wameona njia pekee ni kumtumia Delila Hamisa Mobeto kurudisha hata nusu ya hela atakayopewa.
Mliopata atleast D mbili(two principal passes) mtanielewa
Kama shigongo hajawahi kushitakiwa basi relax,uhuru umexidi nchi hii usiogope dogoUna uhakika gani hadi kuandika tuhuma nzito kama hii, na umetaja kabisa majina ya watu!! Huu ujuaji utamponza mtu siku, imagine mobeto au GSM akienda polisi, si utaisha wewe maana pesa ya fine yenyewe labda hauna, ya nini kuleta ujuaji uishie jela
Ipo siku mtu atatumika kama mfano, mnaowachochea ni binadamu pia. Atakuja kukomolewa mtu kisheria na hakuna yeyote atakayekuja kumsaidia, ninaahidi kumtolea uzi uku, topic nadhan itakuwa *Mwanakulitafuta mwanza...Kama shigongo hajawahi kushitakiwa basi relax,uhuru umexidi nchi hii usiogope dogo
Acha uoga wewe dhanbi ni kuua tu,umbea hauna posho wala adhabu tuliza boliIpo siku mtu atatumika kama mfano, mnaowachochea ni binadamu pia. Atakuja kukomolewa mtu kisheria na hakuna yeyote atakayekuja kumsaidia, ninaahidi kumtolea uzi uku, topic nadhan itakuwa *Mwanakulitafuta mwanza...
La maana kweli pande la mubaba, shemeji la taifa limepanda hewani kiasi kwamba kaka zetu wanaonekana mbilikimo 😹Mahiii wanadai eti long distance ilikuwa changamoto wakaachana but ni marafiki wazuri tu.
Kwani wakati wanaanza hawakulijua hilo?
Hamisa nampenda kile kishindo nilishangilia mwenzenu tumepata lishemeji la maana, loh!
Wanawake waogope.