Guardiola ameiumbua E.P.L

Guardiola ameiumbua E.P.L

Tatizo mlisema Pep hawezi kusumbua EPL je nauliza Pep hasumbui EPL?.

Maana hata huko Laliga na Bundasiliga alikuwa anafungwa.
Amesumbua kwa nafasi yake...na crystal palace na nafasi za wengine kusumbua ndiyo hizi zimefika...
 
Hata uwe invincible sijui ushinde mechi 30 mfululizo kama mwisho wa season huna Uefa Champions League crown basi it's useless
 
Mimi at club level dume ni yule anaebeba UCL crown
Hayo makombe mengine sijui FA, Carabao/koroboi, Etc ni Mickey Mouse cups
Ati sijui ushinde 39 matches straight sijui invincibles, sijui 4G ni mapambio tu
ManCity bila EPL na UCL msimu huu ni useless na hakuna maajabu
 
Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.

Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Wewe huna akili
 
kwani kaiweza!?..ndo January na ana majeruhi watatu muhimu
Watu wengine mnachekesha kwani hao majeruhi ndio wameanza leo?.Na mbona wote walikuwa first 11 eleven.

Nimeuiza suali kipindi man city anapoteza wewe utakuwa hufungwi?.
 
Unapoambiwa Pep Guardiola kafanya maajabu Hispania,Ujerumani na sasa Uingereza usibishe jaribu kufatilia.
Tukianza na Hispania aliweka rekodi ya kushinda mechi 15 mfululizo za La Liga msimu wa 2010/2011.Alipoenda Ujerumani akaweka rekodi ya kushinda mechi 19 mfululizo za Bundesliga msimu wa 2013/2014.Amekuja Uingereza ameweka rekodi ya kushinda mechi 18 mfululizo za EPL msimu huu.
Mtu mmoja anashikilia rekodi katika Ligi tatu kubwa duniani bado unasema huoni maajabu yake? au kwako wewe maana halisi ya neno "maajabu" ni nini?


Ingelikuwa Wewe Ni Mshabiki Wa Timu Nyengine Basi Ningelikushangaa Sana! Lakini Wakati Wewe Ni Mshabiki Wa CHELSEA Basi Sitokuahangaa Bali Nitakufundisha. Unajua Kwanini?
Kwasababu Washabiki Wote Wa Chelsea Wameibuka (Rised from nowhere) Mwaka 2005 Ambayo Ndiyo Mwaka Iliyozaliwa Hiyo Chelsea yenyewe.
Sasa Washabiki Hawa Hawajui Mpira na Hawafahamu Chochote Kuhusiana Na Soka.

Wacha Nianze Kukufundisha TOFAUTI YA REKODI NA MAFANIKIO:

REKODI:
Mwaka 1994 Mshabuliaji Wa Newcastle Unite Andy Cole na Mwaka 1995 mshambuliaji Wa Blackburn Rovers Alan Shearer waliweza Kufungwa Magoli 34 kila Mmoja Katika Msimu mmoja tu Wa EPL pekee! Rekodi Hii mpaka Leo hakuna Mchezaji aliyethubutu Kuikaribia.

Mwaka 1998 Mshabuliaji Wa Coventry City Dion Dublin Alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Magoli 18 tu.

Mwaka 2009 Mshabuliaji Wa Chelsea Nicolas Anelka alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Goli 19 tu.

MFANIKIO
√ Andy Cole Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Alan Shearer Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Dion Dublin Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Nicolas Anelka Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

Kwahiyo Hapo Cole na Shearer Wameweka Rekodi! Lakini Mafanikio Nisawa na Dublin na Anelka! Wote Ni Kiatu Cha Dhahabu Bila Ya Kujali Wingi Wa
Magoli! Kwahiyo Rekodi Zao Hazikuwasaidia Chochote Katika Mafanikio Yao Ya Kubeba Kiatu.

Kwahiyo Si Kila Rekodi Ni Mafanikio Ufahamu Hilo na Ujue Kutofautisha Kati Ya Rekodi na Mafanikio.

Kwahiyo Alichokifanya Gurdiola Ni Rekodi Yakukusanya Points Nyingi Zaidi Kabla Ya Mwaka Mpya tu na Si Kusema Ni Mafanikio.
Kuhusu Mafanikio Ndani Ya EPL mpaka sasahivi Gurdiola Ni Sifuri 0%... Sasa wanaomsifia Sijui Tuwatafsiri vipi!!!!

Halafu Haijalishi Umetoka Sare Ngapi au Umeshinda Ngapi!!

Mwisho Wa Siku Kitakachoandikwa Ni Kuwa "GURRDIOLA EQUALED ASENE WENGER RECORD" amemaliza Msimu Bila Kufungwa...

Sasa Ukieleza Kuwa Sijui Arsenal Kadraw nyingi!! Hapo hatukuelewi...

Kwahiyo Katika Sehemu Gurdiola Aliyofeli Ni Ujerumani Kwani Aliishia Kachukua Kombe la Ligi tu Ambalo Makocha Wote Waliofukuzwa Bundes Liga Walikuwa Wanalibeba! Lakini Hufukuzwa Kwasababu Wanajuwa Kuwa Like Kombe Kwa Bayern Kulibeba Ni Lazima halihitaji Ufundi Wa Kocha Kwa Kikosi Chao..! Kwahiyo Wanachotaka Wao Ni UCL na ndiyomana Ukishindwa Kulibeba Wanakutimua...
Sasa Gurdiola Alishindwa Kubeba UCL kwahiyo alifeli Bali Kwa Upofu tu Munamtukuza eti Kapata Mafanikio Bayern Wakati LVG nayeye Alibeba Bundes Liga lakini Kafukuzwa. Eti Kshinda Michezo 19!!!!!!! kushinda Michezo 19 Ni Rekodi sio Mafanikio.

Nahapa EPL ataishia Kubeba EPL kama Walivyobeba Waliomtangulia Lakini Hatutasema Kaleta Kitu Kipya na cha Ajabu Wakati Wenziwe Wameshakifanya. Na Ukenda Sana Conte ana Credit Kuliko Yeye Kwasababu Kabeba Kombe Msimu wake Wa Mwanzoo.
Ili tumpe Credit labda achukue UCL Back-to-Back hapo Ndiyo Tutasema amejitahidi kidogo Coz wapo Waliomtangulia Back-to-Back.

KWAHIYO USICHUKUE REKODI UKAIFANYA ETI NI MAFANIKIO, HAKUNA TUNZO YA REKODI WALA KOMBE LA REKODI.
 
Bingwa mtetezi wa EPL,Chelsea alifungwa na Crystal Palace na akafungwa tena na West Ham ambao wapo kwenye zone ya kushuka daraja.Liverpool alisuluhu nyumbani kwake,Anfield dhidi ya Westbrom anaeshika mkia EPL.Kwahiyo sidhani kama ni matokeo ya ajabu sana aliyopata Man City leo dhidi ya Crystal Palace na kama ni mfuatiliaji mzuri wa EPL utakubaliana nami kwamba timu zilizo katika hatari ya kushuka daraja huwa zinakaza sana mzunguko wa pili especially wanapokuwa kwao.
Arsene Wenger na invicibles yake ya 2003/2004 hakuweza kushinda mechi 18 mfululizo za EPL kitu ambacho Guardiola amekifanya kwahiyo kuna kitu ambacho Guardiola amekifanya na Wenger hakukifanya katika invincibles yake.


Mimi Ninapotetea Au Kukataa Jambo Ninakuja na FACTS za Jambo hill kwa Matukio na Matokeo Ya Jambo hilo! Ndiyomana Huwa Ninakuja na Mifano Halisi ya Timu Husika!
Kwahiyo Hapa Umeandika Tu lakini Hapana FACT ya Kujadiliwa!!
Kwahiyo Tafuta Hoja tujadili Kwa Kutaja Vielelezo Vinavyojadilika Na Sio Novels kama Hizi.

Sina Cha Kujibu hapa
 
Na Leo Tayari Huyo Gurdiola Ameshatoka Sare na RELEGATOR ambaye anawania Asishuke Daraja!

Hana Anachokifanya Ambacho ARSENE WENGER hajakifanya Na INVINCIBLE Yake 2004.

Kwahiyo Kumsifia Gurdiola Kuwa Hajafungwa Nikuwa Huenda Hamukuijuwa EPL below 2009 na Ndiyomana Munahisi Gurdiola Kafanya Kitu Kigeni ambacho Hakijawahi Kufanywa.

NITAKUJA TENA KWENYE UZI HUU JANUARY 14
Mmmm karibu mkuu. Takukumbusha.
 
Watu wengine mnachekesha kwani hao majeruhi ndio wameanza leo?.Na mbona wote walikuwa first 11 eleven.

Nimeuiza suali kipindi man city anapoteza wewe utakuwa hufungwi?.
wakati yeye anashinda mfululizo wenzake walikua hawafungwi!?..tukutane march
 
Ingelikuwa Wewe Ni Mshabiki Wa Timu Nyengine Basi Ningelikushangaa Sana! Lakini Wakati Wewe Ni Mshabiki Wa CHELSEA Basi Sitokuahangaa Bali Nitakufundisha. Unajua Kwanini?
Kwasababu Washabiki Wote Wa Chelsea Wameibuka (Rised from nowhere) Mwaka 2005 Ambayo Ndiyo Mwaka Iliyozaliwa Hiyo Chelsea yenyewe.
Sasa Washabiki Hawa Hawajui Mpira na Hawafahamu Chochote Kuhusiana Na Soka.

Wacha Nianze Kukufundisha TOFAUTI YA REKODI NA MAFANIKIO:

REKODI:
Mwaka 1994 Mshabuliaji Wa Newcastle Unite Andy Cole na Mwaka 1995 mshambuliaji Wa Blackburn Rovers Alan Shearer waliweza Kufungwa Magoli 34 kila Mmoja Katika Msimu mmoja tu Wa EPL pekee! Rekodi Hii mpaka Leo hakuna Mchezaji aliyethubutu Kuikaribia.

Mwaka 1998 Mshabuliaji Wa Coventry City Dion Dublin Alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Magoli 18 tu.

Mwaka 2009 Mshabuliaji Wa Chelsea Nicolas Anelka alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Goli 19 tu.

MFANIKIO
√ Andy Cole Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Alan Shearer Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Dion Dublin Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Nicolas Anelka Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

Kwahiyo Hapo Cole na Shearer Wameweka Rekodi! Lakini Mafanikio Nisawa na Dublin na Anelka! Wote Ni Kiatu Cha Dhahabu Bila Ya Kujali Wingi Wa Magoli! Kwahiyo Rekodi Zao Hazikuwasaidia Chochote Katika Mafanikio Yao Ya Kubeba Kiatu.

Kwahiyo Si Kila Rekodi Ni Mafanikio Ufahamu Hilo na Ujue Kutofautisha Kati Ya Rekodi na Mafanikio.

Kwahiyo Alichokifanya Gurdiola Ni Rekodi Yakukusanya Points Nyingi Zaidi Kabla Ya Mwaka Mpya tu na Si Kusema Ni Mafanikio.
Kuhusu Mafanikio Ndani Ya EPL mpaka sasahivi Gurdiola Ni Sifuri 0%... Sasa wanaomsifia Sijui Tuwatafsiri vipi!!!!

Halafu Haijalishi Umetoka Sare Ngapi au Umeshinda Ngapi!!

Mwisho Wa Siku Kitakachoandikwa Ni Kuwa "GURRDIOLA EQUALED ASENE WENGER RECORD" amemaliza Msimu Bila Kufungwa...

Sasa Ukieleza Kuwa Sijui Arsenal Kadraw nyingi!! Hapo hatukuelewi...

Kwahiyo Katika Sehemu Gurdiola Aliyofeli Ni Ujerumani Kwani Aliishia Kachukua Kombe la Ligi tu Ambalo Makocha Wote Waliofukuzwa Bundes Liga Walikuwa Wanalibeba! Lakini Hufukuzwa Kwasababu Wanajuwa Kuwa Like Kombe Kwa Bayern Kulibeba Ni Lazima halihitaji Ufundi Wa Kocha Kwa Kikosi Chao..! Kwahiyo Wanachotaka Wao Ni UCL na ndiyomana Ukishindwa Kulibeba Wanakutimua...
Sasa Gurdiola Alishindwa Kubeba UCL kwahiyo alifeli Bali Kwa Upofu tu Munamtukuza eti Kapata Mafanikio Bayern Wakati LVG nayeye Alibeba Bundes Liga lakini Kafukuzwa. Eti Kshinda Michezo 19!!!!!!! kushinda Michezo 19 Ni Rekodi sio Mafanikio.

Nahapa EPL ataishia Kubeba EPL kama Walivyobeba Waliomtangulia Lakini Hatutasema Kaleta Kitu Kipya na cha Ajabu Wakati Wenziwe Wameshakifanya. Na Ukenda Sana Conte ana Credit Kuliko Yeye Kwasababu Kabeba Kombe Msimu wake Wa Mwanzoo.
Ili tumpe Credit labda achukue UCL Back-to-Back hapo Ndiyo Tutasema amejitahidi kidogo Coz wapo Waliomtangulia Back-to-Back.

KWAHIYO USICHUKUE REKODI UKAIFANYA ETI NI MAFANIKIO, HAKUNA TUNZO YA REKODI WALA KOMBE LA REKODI.
Umeandika upupu mwingi nahakuna cha maana ulichoandika.
Nyie ndio mlisema Pep anashinda mechi nyingi kwenye ligi dhaifu,hawezi kufanya EPL.Sasa mnapouliza Pep hawezi kufanya hivyo EPL mnabaki mnaandika utumbo ambao hauna maana.

Mmeulizwa hawezi kuzifunga timu za EPL kama alivokuwa anafanya huko kwenye ligi dhaifu?.Jibuni acheni kuhororoja.
 
Ingelikuwa Wewe Ni Mshabiki Wa Timu Nyengine Basi Ningelikushangaa Sana! Lakini Wakati Wewe Ni Mshabiki Wa CHELSEA Basi Sitokuahangaa Bali Nitakufundisha. Unajua Kwanini?
Kwasababu Washabiki Wote Wa Chelsea Wameibuka (Rised from nowhere) Mwaka 2005 Ambayo Ndiyo Mwaka Iliyozaliwa Hiyo Chelsea yenyewe.
Sasa Washabiki Hawa Hawajui Mpira na Hawafahamu Chochote Kuhusiana Na Soka.

Wacha Nianze Kukufundisha TOFAUTI YA REKODI NA MAFANIKIO:

REKODI:
Mwaka 1994 Mshabuliaji Wa Newcastle Unite Andy Cole na Mwaka 1995 mshambuliaji Wa Blackburn Rovers Alan Shearer waliweza Kufungwa Magoli 34 kila Mmoja Katika Msimu mmoja tu Wa EPL pekee! Rekodi Hii mpaka Leo hakuna Mchezaji aliyethubutu Kuikaribia.

Mwaka 1998 Mshabuliaji Wa Coventry City Dion Dublin Alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Magoli 18 tu.

Mwaka 2009 Mshabuliaji Wa Chelsea Nicolas Anelka alitokea Mfungaji Bora Wa EPL kwa Kufunga Goli 19 tu.

MFANIKIO
√ Andy Cole Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Alan Shearer Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Dion Dublin Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

√ Nicolas Anelka Kachukua Kiatu Cha Dhahabu tu.

Kwahiyo Hapo Cole na Shearer Wameweka Rekodi! Lakini Mafanikio Nisawa na Dublin na Anelka! Wote Ni Kiatu Cha Dhahabu Bila Ya Kujali Wingi Wa Magoli! Kwahiyo Rekodi Zao Hazikuwasaidia Chochote Katika Mafanikio Yao Ya Kubeba Kiatu.

Kwahiyo Si Kila Rekodi Ni Mafanikio Ufahamu Hilo na Ujue Kutofautisha Kati Ya Rekodi na Mafanikio.

Kwahiyo Alichokifanya Gurdiola Ni Rekodi Yakukusanya Points Nyingi Zaidi Kabla Ya Mwaka Mpya tu na Si Kusema Ni Mafanikio.
Kuhusu Mafanikio Ndani Ya EPL mpaka sasahivi Gurdiola Ni Sifuri 0%... Sasa wanaomsifia Sijui Tuwatafsiri vipi!!!!

Halafu Haijalishi Umetoka Sare Ngapi au Umeshinda Ngapi!!

Mwisho Wa Siku Kitakachoandikwa Ni Kuwa "GURRDIOLA EQUALED ASENE WENGER RECORD" amemaliza Msimu Bila Kufungwa...

Sasa Ukieleza Kuwa Sijui Arsenal Kadraw nyingi!! Hapo hatukuelewi...

Kwahiyo Katika Sehemu Gurdiola Aliyofeli Ni Ujerumani Kwani Aliishia Kachukua Kombe la Ligi tu Ambalo Makocha Wote Waliofukuzwa Bundes Liga Walikuwa Wanalibeba! Lakini Hufukuzwa Kwasababu Wanajuwa Kuwa Like Kombe Kwa Bayern Kulibeba Ni Lazima halihitaji Ufundi Wa Kocha Kwa Kikosi Chao..! Kwahiyo Wanachotaka Wao Ni UCL na ndiyomana Ukishindwa Kulibeba Wanakutimua...
Sasa Gurdiola Alishindwa Kubeba UCL kwahiyo alifeli Bali Kwa Upofu tu Munamtukuza eti Kapata Mafanikio Bayern Wakati LVG nayeye Alibeba Bundes Liga lakini Kafukuzwa. Eti Kshinda Michezo 19!!!!!!! kushinda Michezo 19 Ni Rekodi sio Mafanikio.

Nahapa EPL ataishia Kubeba EPL kama Walivyobeba Waliomtangulia Lakini Hatutasema Kaleta Kitu Kipya na cha Ajabu Wakati Wenziwe Wameshakifanya. Na Ukenda Sana Conte ana Credit Kuliko Yeye Kwasababu Kabeba Kombe Msimu wake Wa Mwanzoo.
Ili tumpe Credit labda achukue UCL Back-to-Back hapo Ndiyo Tutasema amejitahidi kidogo Coz wapo Waliomtangulia Back-to-Back.

KWAHIYO USICHUKUE REKODI UKAIFANYA ETI NI MAFANIKIO, HAKUNA TUNZO YA REKODI WALA KOMBE LA REKODI.
Unaposema mashabiki wengi wa Chelsea hawajui soka kwa vile wameanza kuishabikia timu hiyo 2005 it doesn't make sense at all.
Kwani baada ya 2005 hakukuwa na soka?kulikuwa na nini? Klabu ngapi zimefanya makubwa katika ulimwengu wa soka from 2005 to date? Wachezaji wangapi wamefanya makubwa katika ulimwengu wa soka from 2005 to date? Makocha wangapi wamefanya makubwa katika ulimwengu wa soka from 2005 to date?
By the way kwa umri wangu ni sahihi kabisa kuishabikia Chelsea kwasababu tangu nianze kuishabikia Chelsea nimeshuhudia ikibeba EPL back to back and 5 times in total,4 FA cups,3 League Cups,UCL na Europa League that's 14 trophies in total so najivunia kuwa mshabiki wa hii timu na naweza kwenda mbali zaidi na kusema mimi ni mshabiki mzuri wa soka kuliko unavyofikiria na mambo mengi ya huko nyuma nimejaribu kufatilia baada ya kuanza kuutazama mchezo huu kwa mara ya kwanza 2002 World Cup.
Back to the point,Nadhani una tatizo la uelewa au unaongozwa na mihemko bila kujijua kwasababu hapo juu sijazungumza mafaniko ya Guardiola katika EPL na kwingineko nimezungumza rekodi zake alizofanikiwa kuweka katika Ligi tatu kubwa duniani so far.
Katika EPL kila kocha ana rekodi za peke yake na zinaheshimika,tukianza na SAF ana rekodi ya kuchukuwa ubingwa wa EPL mara tatu mfululizo(2006-2007,2007-2008 na 2008-2009).Arsene Wenger ana rekodi yake ya kuchukuwa ubingwa bila ya kupoteza mechi hata moja msimu wa 2003/2004.Mourinho ana rekodi yake ya kuchukuwa EPL kwa Points nyingi zaidi,95 points msimu wa 2004/2005.Conte ana rekodi yake ya kuchukuwa ubingwa wa EPL kwa kushinda mechi 30 kati ya 38.
Hizi zote ni rekodi na zinaheshimiwa maana ni CV tosha ya Kocha hivyo kama una criticize rekodi ya Guardiola hadi hapo atakapochukuwa ubingwa basi lets meet in May uje kumpa heshima yake kwa kuchukuwa ubingwa na kuweka rekodi yake ambayo wengine hawakuweza kuifikia hapo nyuma,18 games winning streak.
Plus Conte si kocha wa kwanza kubeba EPL katika msimu wake wa mwanzo hata Mourinho alifanya hivyo akiwa na Chelsea msimu wa 2004/2005 vile vile Carlo Ancelotti alifanya hivyo akiwa na Chelsea msimu wa 2009/2010.
Na unaposema ili tumpe credit achukue UCL back to back nazidi kuwa na wasiwasi na uwezo wako kuuelewa mchezo wa mpira.Hivi apart from Zinedine Zidane kuna kocha aliyewahi kuchukuwa UCL back to back tangu wewe uanze kutizama mpira? Kwahiyo hawa akina SAF,Mourinho,Ancelotti,Vicente Del Bosque,Frank Rijkaard,LVG,Juup Heynckes,Benitez,Di Matteo na wengineo hawa deserve credit kwa vile hawakuweza kuchukua UCL back to back?
 
Shabiki wa Liverpool bana,kipi kipya kwenu?.

Vipi Pep hawezi zifunga timu za EPL kama alivokuwa anafanya laliga?.

Usiingize topics off subject sijui cha liverpool Ama Man U
Utampamba sana Pep wako
Lakini ukweli unabaki kuwa hajafanya lolote jipya likaitwa maajabu
Hata Mzee Wenger leo akienda Bayern atatwaa Bundesliga lakini hatashinda UCL
Again, I repeat ManCity bila UCL ni useless
 
Back
Top Bottom