RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Tatizo mlisema Pep hawezi kusumbua EPL je nauliza Pep hasumbui EPL?...huu huu uzi kuna bwege aliropoka kuwa Guadiola hakuna wa kumsimamisha
Maana hata huko Laliga na Bundasiliga alikuwa anafungwa.