Guardiola ameiumbua E.P.L

Usiingize topics off subject sijui cha liverpool Ama Man U
Utampamba sana Pep wako
Lakini ukweli unabaki kuwa hajafanya lolote jipya likaitwa maajabu
Mnahamisha tena magoli,Pep kawafata kwenye ligi yenu nakawabamiza nyie wote,halafu oooo pep hamna kitu wenye kitu ni Klop na Mourinho basii.
 
Mnahamisha tena magoli,Pep kawafata kwenye ligi yenu nakawabamiza nyie wote,halafu oooo pep hamna kitu wenye kitu ni Klop na Mourinho basii.

Unless Pep abebe EPL na UCL otherwise hana maajabu yoyote Ama mapya yoyote kwenye soka
Kama ni EPL tu basi hata Leicester City walichukua Na Claudio Ranieri
Hata Blackburn Rovers walitwaa EPL
 


Labda Nikuulize Back-to-Back ipi unayoikusudia Hata Ukasema Ni Zidane Pekee Ndiye Aliyebeba?
Coz Waliowahi Kubeba UCL B2B kuna REAL, BENFICA, INTERMILAN, AJAX, BAYERN, LIVERPOOL, NOTINGHAM FOREST na AC MILAN.

Au Unahisi UCL imeanzishwa 2005 kama ilivyoanzishwa timu yako?

"MPAKA HAPO NIMALIZIE TU SINA CHA KUKUSAIDI TENA"


 


Hivi Wewe Unajadili Nini? Na Unajadiliana Na Nani?
Mbona Nakuona Unaandika vitu kama uliyekimbia umande!!
I'm not your level, Just find someone else may be
you can gain some knowledge about aoccer
 
Hivi Wewe Unajadili Nini? Na Unajadiliana Na Nani?
Mbona Nakuona Unaandika vitu kama uliyekimbia umande!!
I'm not your level, Just find someone else may be you can gain some knowledge about aoccer
Ndio mkuu nilikimbia umande,niliishia darasa la nne,hongera wewe uliemaliza madarasa hata kuitwa Prof,lakini nikwambie kitu acha kuandika upupu ambao kila mtu anaufahamu,maana unaonekana ulivo na takataka nyingi kichwani.

Unapoambiwa na mkuu hapo juu hakuna mtu aliechukua back to back UCL tofauti na Zidane unabisha na kwenda kutuletea takataka zako za European Cup.Unafahamu kabisa kama muundo uliokuwa before 1992/1993 ni tofauti kabisa.

Uwezo wako uko chini sana Prof .
 
Acha kujitia upofu usiokuwa nao au tatizo lako la uelewa linazidi kujidhihirsha?
Nimekuuliza TANGU WEWE UANZE KUANGALIA MPIRA umeshuhudia kocha gani akichukuwa back to back ucl apart from Zizzou?
Swali langu lipo very specific na nimefanya hivyo kwa makusudi kwasababu najua hiyo back to back ya mwisho kabla ya Zidane i mean ya AC Milan mwaka 1989 na 1990 wewe hukuwa umeanza kuangalia mpira kwahiyo uwe unaelewa swali unaloulizwa kabla ya kukurupuka kujibu.
Plus naona baada ya kukushika pabaya umejibu sehemu moja tu ambayo na yenyewe umekurupuka tu tafadhali naomba nikwambie wewe bado ni MCHANGA sana katika maswala ya soka kuliko unavyodhani.
 

NITAKUJA TENA KWENYE UZI HUU JANUARY 14


NILISEMA NITARUDI KWENYE HUU UZI TAREHE YA LEO 14 JANUARY 2018.

Tayari Gurdiola Kashadonolewa na Kashindwa na Kashindwa Kuvunja Rekodi ya INVINCIBLE ya Arsene Wenger na Wenger atabakia Kuwa Ni Kocha Pekee aliyefanya Maajabu EPL na Wana Si Gurdiola Muliyemsifia Katikati ya Msimu.

LETENI TENA HAYO MANENO YENU
 

Msalimie sana Pep Guardiola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…