[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mkuu usiseme goli tano utaamsha mashetani ya wengine humu[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mkuu wewe ndiyo upo hapo kwenye Avart yako?Siku akija kuwa kocha wa Burnley,na akayafanya haya ndio nitamkubali.
Huijui epl...hao kina sam siyo wabeba kombe hao ni wapigaji na watampiga...kwa mfano mourinho amepigwa mara ngapi na Alan Pardew,au hujui?...fuatilia na nnakuhakikishia atapigwa muda wowote na timu yeyote......!periodYaani ampige Jurgen kloop goli 5, amtandike Mourinho old trafford, ampige Conte stamford bridge..
Halafu umtishie Big Sam[emoji1] [emoji1] [emoji1] .. you cant be serious!!
FactHuijui epl...hao kina sam siyo wabeba kombe hao ni wapigaji na watampiga...kwa mfano mourinho amepigwa mara ngapi na Alan Pardew,au hujui?...fuatilia na nnakuhakikishia atapigwa muda wowote na timu yeyote......!period
aNatembelea michoro ya kina nani? Guardiola ni best coach ever ktk sayari hii tunayoishi.. Kubali au kataaKwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.
Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Hakuna lolote mzee..Huijui epl...hao kina sam siyo wabeba kombe hao ni wapigaji na watampiga...kwa mfano mourinho amepigwa mara ngapi na Alan Pardew,au hujui?...fuatilia na nnakuhakikishia atapigwa muda wowote na timu yeyote......!period
Huijui epl...hao kina sam siyo wabeba kombe hao ni wapigaji na watampiga...kwa mfano mourinho amepigwa mara ngapi na Alan Pardew,au hujui?...fuatilia na nnakuhakikishia atapigwa muda wowote na timu yeyote......!period
Sina sbb ya kukudanganya soma nilichokwambia...na sihitaji kubishana na wewe.....au nikusaidie tu.hao kina sam wana kazi zao maalum wala siyo ubingwa ila ni kuzifanya timu ziwepo ktk ligi na kuziokoa kushuka ikiwa pamoja na kuzipiga au kuzisumbua timu kubwa.....big sam kachukua timu wiki mbili zilizopita,pardew hakuwepo,Moyes pia hakuwepo na wapo wengi kwa ajili ya kutibua tuHakuna lolote mzee..
Hao kina Big sam wanatandikwa sana au tulete statistics hapa maana unataka utudanganye..
Nilete statistics za huyo Big Sam V club kubwa za England??
Nimekutag Kipigo alichokula Big sam mwaka huu kutoka kwa Pep... nasubiria majibuSina sbb ya kukudanganya soma nilichokwambia...na sihitaji kubishana na wewe.....au nikusaidie tu.hao kina sam wana kazi zao maalum wala siyo ubingwa ila ni kuzifanya timu ziwepo ktk ligi na kuziokoa kushuka ikiwa pamoja na kuzipiga au kuzisumbua timu kubwa.....big sam kachukua timu wiki mbili zilizopita,pardew hakuwepo,Moyes pia hakuwepo na wapo wengi kwa ajili ya kutibua tu
Man City na Guardiola kiukweli ni wazuri, lakini hawajakumbana majeruhi. Sasa subirini De Bruyne na D. Silva wapate majeraha ndo utajua EPL ni sawa n La Liga au Bundesliga? Tusubiri, time will tell us.nakumbuka msimu wa 2011/12 Man U walikuwa mbele kwa point 8 kumzidi Man City huku zikiwa zimebaki mechi 6 tu ligi kwisha.
badala yake ni Man City ndiye aliyebeba ndoo ya EPL.
sasa hivi Man City wapo mbele pointi 11 na mechi zimebaki zaidi ya 20.
wacha EPL iitwe EPL!
Unatutafuta Liverpool?watu kukiri tu kuwa pep anajua anachokifanya wanaona kama watapungukiwa damu [emoji23] [emoji23] .
ila ndo ukweli huo jamaa anajua na ni kocha mzuri sana.
naanza kuona man city ikipata mashabiki wengiiiii [emoji3] [emoji3] [emoji3] hasa kutoka Arsenal na Liverpool
Uongo. Liverpool ya 2014/2015 iliongoza mpaka Krismasi ubingwa ukawa empty.Anayemaliza Krismasi akiwa pale juu ndio Bingwa
mbona city kishaanza kulegea..mpira alioanza nao sio anaocheza sasa..na EPL huwa ligi kipindi hiki hadi march..ile top six na timu zingne tatu zitamtia tu panchaUnafikir city ni ka kitimu chako [emoji12] [emoji12]