Guardiola ameiumbua E.P.L

Guardiola ameiumbua E.P.L

Siyo kweli!!.... Hajakutana na Big sam akiwa na timu,Hajakutana na Allan Pardew Akiwa na Timu....nnachotaka kukwambia ni hivi kwa England bado Usimuhesabie kama ni bingwa huyo Ligi bado sana hiyo
Hao wengine unaohisi watachukua ubingwa wao washakutana na uyo big sam na Allan pardew?
 
Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.

Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.

Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).

Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!

Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.

Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!

Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa

Ungesubili mpaka mwakani kuanzia mwezi March ndo ufungue huu uzi....kama vipigo tu unavoviongelea au kama ni kutokufungwa kwa mechi 15...basi tayari mzee Wenger alishaimbua EPL kitambo sanaaaaa...yeye alichukua ligi bila kufungwa mechi hata moja.
 
Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu
Sasa ndugu yangu una lalama nini maana hueleweki! Yani mzazi kampeleka mwanae shule nzuri kwa gharama zake na kafaulu ww umeenda st mkapa bure umefail eti unaanza mzodoa yule mzazi mtt wake aliyefaulu hahahaaa cty wameweka mzigo,chelsea,man u na wengine nao wameweka mzigo pia sasa wao wame scout vzr wamepata wachezaji wazuri ww unawazomea heheheeee huu mpira jmn
 
Kipindi icho man u ilikua inafifia bna usiiringanishe na city hii ambayo ukicheza nayo ww kazi yako ni kupunguza idadi ya magoal tu
ilikuwa inafifia? msimu uliofuata ilibeba ndoo!
 
Ki ukweli Pep anajua hilo halipingiki. Ila napata kigugumizi kuamini kwamba anaweza kumaliza ligi hajapoteza hata game moja.

UEFA, EPL, Carabao, FA

Hata wachezaji wenyewe siyo vyuma wale watachoka. Hizo rekodi ziliwekwa kitambo si kwa sasa na EPL hii. Kuhusu ubingwa ana asilimia kubwa mpk sasa lakini mechi bado ni nyingi mno. Time Will Tell
Sidhan kama hoja kuu ni kutopoteza hata mechi moja katika mtiririko wa mashindano mbalimbali yanayoikabili Man City,bali ni uwezo wa team kwa sasa chini ya Pep!
 
Ungesubili mpaka mwakani kuanzia mwezi March ndo ufungue huu uzi....kama vipigo tu unavoviongelea au kama ni kutokufungwa kwa mechi 15...basi tayari mzee Wenger alishaimbua EPL kitambo sanaaaaa...yeye alichukua ligi bila kufungwa mechi hata moja.
Huyu kawin game 15 mfululizo hakuna draw hata moja kwenye izo mechi 15 iyo ndo record mpya
 
Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu
Kuna team haijawahi kufungwa ndugu?
 
Haijalishi ila msimu wa kwanza alitoka kapa hilo ni funzo tosha, hili linalo endelea sasa arsenal walishafanya
 
nakumbuka msimu wa 2011/12 Man U walikuwa mbele kwa point 8 kumzidi Man City huku zikiwa zimebaki mechi 6 tu ligi kwisha.
badala yake ni Man City ndiye aliyebeba ndoo ya EPL.

sasa hivi Man City wapo mbele pointi 11 na mechi zimebaki zaidi ya 20.

wacha EPL iitwe EPL!
Maneno ya mfa maji, epl hapakuwa na timu ya maana ndo maana hata kitimu cha ajabu kilikuwa na uwezo wa kujipigia timu yoyote
 
Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.

Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.

Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).

Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!

Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.

Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!

Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa
Waambie bana maana kila siku hooo epl ina ushindan sio kama laliga ya timu mbili kumbe hawakujua kwamba hizo timu hata zingekuj epl zingeendelea kutesa, mfano Mancity mwenye kiwango kama cha Barcelona kwa sasa anawaonesha
 
Wewe unamatatizo wewe, Hujui kuwa Pep anashinda kwa bahati tu ? alimfunga Man U kwa bahati tu, amemfunga Swansea leo kwa bahati tu 4-0, ila mpira upo man U, kashinda Goli moja tu leo na Bounemouth, kachukua point tatu kashinda 1-0 , yeye hajashinda kwa bahati bali hua anapiga mpira.

Kwa ujumla Top 4 ya EPL inampira mzuri sana tatizo ni pale wanapoamua ku pack Bus,
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu hata sijui umendika nin, aliyeshinda 4 ni bahat alaf aliyeshinda 1 ndo anajua [emoji15] [emoji15]! Au sijakuelewa nn!!!!
 
Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.

Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Mkuu huhui soka bora unyamaze. Hao wachezaji wa Bosque team ya spain walipikwa kwenye club ya vijana ya barcelona na huko ndiko ilikokuwa kazi ya pep..Jamaa ni kocha mzuri na hakuna pingamizi kwa hilo. Man city huoni ilishapotea kuna mchezaji gani pale wa kusema ni wa bei kubwa. Man city inawachezaji wa kawaida kabisa ila anagalia soka. Sote tunashuhudia
 
Back
Top Bottom