Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu huu nahisi jamaa ataongoza mwanzo mwisho๐๐๐๐
Watu mlishupaza shingo sana!!!
Ule ubingwa wa Liverpool ulifanya mtapike maneno mengi sana.
Enewei, bado kuna kiumbe ana wasiwasi au ana mashaka na ubabe wa Pep hapo Uingereza?
Aondoke au abaki?
View attachment 3078955View attachment 3078956
Sasa apumzike, awaachie wengine nao wafurahi.Msimu huu nahisi jamaa ataongoza mwanzo mwisho
Apunzike wapi tena? Aendelee kuwepo hapo hili dunia ishuudie Arteta wetu akiangusha utawala wake.Sasa apumzike, awaachie wengine nao wafurahi.
Arteta?Apunzike wapi tena? Aendelee kuwepo hapo hili dunia ishuudie Arteta wetu akiangusha utawala wake.
This season we are going to witness the end of city's dominance.
Akafundishe everton tuone ubabe wake๐๐๐๐
Watu mlishupaza shingo sana!!!
Ule ubingwa wa Liverpool (COVID EPL title) ulifanya mtapike maneno mengi sana.
Enewei, bado kuna kiumbe ana wasiwasi au ana mashaka na ubabe wa Pep hapo Uingereza?
Aondoke au abaki?
View attachment 3078955View attachment 3078956
Arsenal wako vizuri, nasikia watasajili striker, itakua balaaArteta?
Arsenal?
๐๐๐
Ni wajibu wa Everton kuweka fungu mezani kumsajili Pep, hawezi kwenda Everton bila Everton kuonesha nia ya kumhitaji.Akafundishe everton tuone ubabe wake
Msimu uliopita hawakuwa na striker?Arsenal wako vizuri, nasikia watasajili striker, itakua balaa
Msimu uliopita mechi ya vila tu ndiyo iliharibu kila kitu,angeshinda moja tu angekua bingwa, arsenal timu strongMsimu uliopita hawakuwa na striker?
Kiukweli haya matusi ya kuchukua ligi mare nne mfululizo Pep hakuwahi kuyafanya hata laliga ambayo ndio ilikuwa ni ligi nyepesi zaidi.... nakumbuka alivyokuwa Barcelona alichukua mara tatu mfululizo, alivyotaka kuchukua mara ya nne Morinho na real madrid yake wakamzuia akakimbia na kukimbia...!!watu walikua wandai epl ngumu, siji laliga na bundesliga. i ligi nyepesi,
pep mtu mbaya sana, ana wanyoosha mnooo
Yes, gunners tatizo lililokuwepo pale ni striker asilia tu basi, tunatengeneza nafasi nyingi sana ila zinakosa mtu sahihi wa kuzimalizia.Arsenal wako vizuri, nasikia watasajili striker, itakua balaa
Kwani hapo alipo hamuuoni ubabe wake?Akafundishe everton tuone ubabe wake
Unafundisha barcelona ile,kisha bayern kisha city,kila mchezaji umtakae wampata,alipotoka bayern angeenda arsenalKwani hapo alipo hamuuoni ubabe wake?
Ulitaka afundishe timu ambayo akimtaka mchezaji ananyimwa? Halafu mani alikudanganya kuwa wanasajiri wachezaji ili wawafundishe kucheza mpira? Imekuwa academy?Unafundisha barcelona ile,kisha bayern kisha city,kila mchezaji umtakae wampata,alipotoka bayern angeenda arsenal
Coaching ni nini!?Ulitaka afundishe timu ambayo akimtaka mchezaji ananyimwa? Halafu mani alikudanganya kuwa wanasajiri wachezaji ili wawafundishe kucheza mpira? Imekuwa academy?
Coaching siyo teaching.Coaching ni nini!?
Ukufunzi ni nini!?.. yaleyale lecturer chuo siyo mwalimuCoaching siyo teaching.
Coaching ni ukufunzi
Usilete ubishi, ukufunzi ni maelekezo kwa watu ambao tayari wana knowledge ya field husikaUkufunzi ni nini!?.. yaleyale lecturer chuo siyo mwalimu