Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Kama rahisi mbona wengine hawaongozi kwa point 20?
mateso waliyopitia Liverpool wana haki ya kufanya haya wanayoyafanya timu imesukwa kwa muda mrefu mafanikio hayaji kwa maneno maneno.
Mimi ni Chelsea na Newcastle United.
Na siipendi Liverpool lakini ukweli nitasema.ligi sio rahisi bali wamejipanga kwa muda mrefu.
Kweli tumeiona ligi imekuwa rahisi mtu anaongoza kwa point 20

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada uje ujazie mapengo kwenye uzi wako.
Nadhani Man City bado wana nafasi ya kutwaa taji pamoja na point 22 zaidi za Liverpool
Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.

So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez

Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva

Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
 
Iwe fundisho kwa watoa mada wa hisia zao badala ya uchambuzi wa kina na kupambanua mambo halisi yalivyo, sasa kamhamishe huyo Guardiola ili msipate aibu wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1593549888947.png
 
Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.

So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez

Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva

Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
Hakuna wa kuifunga City
 
Back
Top Bottom