Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Yaya toure anatoka kusini mwajangwa LA sahara?,unamanisha ivory coast ikohuko!!!!.....watu wanavosema jamiiforum imevamiwa nilikuwa sijaelewa.naza kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo hata jangwa la Shahara hujui lilipo? Ngoja nikutajie baadhi ya nchi Algeria, Morocco, Tunisia, Libya, Chadi, Sudan nk sasa hizo nchi ziko wapi? Kijana wa Magufuli hata Jografia hujui we ni bure kabisa.
 
Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.

So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez

Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva

Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
Kwa kweli anatuharibia ligi
 
Wachambuzi wa bongo hao, usikute mleta mada huwa anashiriki kuchambua mpira kwenye vituo vya matangazo....
IMG-20200203-WA0090.jpg
 
Kaka Geoffrey alisema msimu huu liver hata top 4 hawamo mwanzoni wakati ligi inaanza bongo hamna mchambuzi zaidi ni wasimuliaji tu.
George Tigana Lukinja.
Geoffrey Leya.
Dr Laekey Abdallah

Hawa ndiyo wachambuzi ambao naweza kupoteza muda wangu kuwasikiliza hao wengine ni wapiga kelele tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ule msimu Leicester City anachukua ubingwa hakuna mchambuzi aliyewapa nafasi hata ya top 6 lakini mwisho wa msimu walibeba ndoo..

Kuchambua mpira ni kitu kingine na kutabiri ni ishu nyingine..

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Back
Top Bottom