Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Huyi alitakiwa awe mcheza rugy😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyi alitakiwa awe mcheza rugy😀😀
Dogo hata jangwa la Shahara hujui lilipo? Ngoja nikutajie baadhi ya nchi Algeria, Morocco, Tunisia, Libya, Chadi, Sudan nk sasa hizo nchi ziko wapi? Kijana wa Magufuli hata Jografia hujui we ni bure kabisa.Yaya toure anatoka kusini mwajangwa LA sahara?,unamanisha ivory coast ikohuko!!!!.....watu wanavosema jamiiforum imevamiwa nilikuwa sijaelewa.naza kuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui rais wa Iraq ni gaddaffDogo hata jangwa la Shahara hujui lilipo? Ngoja nikutajie baadhi ya nchi Algeria, Morocco, Tunisia, Libya, Chadi, Sudan nk sasa hizo nchi ziko wapi? Kijana wa Magufuli hata Jografia hujui we ni bure kabisa.
My brother, umepotea sana.Go Pep
Go Pep
Kwa kweli anatuharibia ligiNikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.
So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez
Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva
Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
HaujafaUzi umekufa
Kweli tumeiona ligi imekuwa rahisi mtu anaongoza kwa point 20Haujafa
Wachambuzi wa bongo hao, usikute mleta mada huwa anashiriki kuchambua mpira kwenye vituo vya matangazo....
Bongo hakuna wachambuzi wa soka bali kuna washabiki tu
George Tigana Lukinja.
Geoffrey Leya.
Dr Laekey Abdallah
Hawa ndiyo wachambuzi ambao naweza kupoteza muda wangu kuwasikiliza hao wengine ni wapiga kelele tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako mwalimu KashashaGeorge Tigana Lukinja.
Geoffrey Leya.
Dr Laekey Abdallah
Hawa ndiyo wachambuzi ambao naweza kupoteza muda wangu kuwasikiliza hao wengine ni wapiga kelele tu.
Sent using Jamii Forums mobile app