Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!
Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!
Wadau nataka wikend ijayo nikacheze mechi kwenye uwanja mdogo wa kulipia (6 by 6),sasa sijui wapi kuna LODGE yenye gharama nafuu(kati ya 15000 hadi 20000)
kama unajua nielekeze tafadhali.reference iwe msamvu au stand ya mabasi morogoro mjini
ASANTE IN ADVANCE
ingia Kidia One hapo ukafanye hiyo midhambi unayotaka kuifanya...na Mungu akulaani unatane
Ahaa kumbe una imani na taulo za guest.
Kuna Moja ni Hotel sio Guest nililala juzi, ina jina gumu kidogo ila ipo Jirani na sehemu inaitwa Msikiti wa Mahita
Kuna Moja ni Hotel sio Guest nililala juzi, ina jina gumu kidogo ila ipo Jirani na sehemu inaitwa Msikiti wa Mahita
Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!
Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!
Samahani dada ww ni m2 wa Moro!?
Hhahaaaaaaaaa! Enzi za chuo tulikuwa tunajiachia sanaa na mialiko ya wadau wa Sua na Mzumbe!!!!!! Ijumaa ni Moro mwanzo mwisho hadi jpili!