NYONGEZA: Kuna hii PATAYA INN ya Mikocheni ipo poa sana FULL USALAMA, maji ya moto, geti kubwa wahudumu WASIRI
Ulikuwa unawaza nn, mpk kuandika?Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;
1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
mambo ya kiswahili kama yapi mkuu?Travertine nayo iko poa sana (kwa sisi wenye mambo ya Kiswahili lakini.)
daah mkuu nielekeze hiiKiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.
Body without head
daah hiyo safi sanaDirection unaenda na jkt road kutoka barabara ya kilwa mpaka shule ya msingi mgulani unakunja kona kushoto kuna mtaa huoo unaenda nao moja kwa moja mpaka mahala husikaa..kingine kuna milango miwili unaweza kuingilia mbele ukatoke nyuma kwenye uwanja wa ccm hata watu wasikukariri
ile iko waziwazi sanakuna ile B&B Hotel, mwenge unaingilia pale nakiete, imejificha ile asee..unapaki gari ndani kimshazari plate number haisomeki au inazibwa kabisa na special plastic
daah mkuu hii iko vizuri sanaNdiyo yenyewe, gari tinted mpaka ndani mlango unafungwa, unaibukia chumbani, kisha mhudumu anakusubiri ktk mlango wa corridor umpe HeLa kama ni vinywaji umuagize, hutaki kuonekana pitisha HeLa chini ya mlango, ukimaliza unarudi ktk gari, ukipiga start tu wanafungua gate unatoa gari na kuondoka zako bila kuonekana kwa yeyote.
Body without head
kwenye gari hapafai mkuu maana gari litakua linanesa nesamnaenda gesti za nini hamna magari??
hizi ziko wazi wazi...natafuta iliyojifichaADDENDUM: NAMNANI HOTEL (Sinza), BLUE PEARL HOTEL (Ubungo), KEBBY'S HOTEL (Mwenge) na ile Karibu na kituo cha MAWASILIANO TOWER (SIMU2000)
pattaya imetulia kwa kweliNYONGEZA: Kuna hii PATAYA INN ya Mikocheni ipo poa sana FULL USALAMA, maji ya moto, geti kubwa wahudumu WASIRI
pale pako wazi sana mkuu
Ile iko goigi mkuuKuna lodge moja ipo mbezi beach makonde nyuma ya CRDB bank, iko sehemu nzuri sana, sema ni expensive per day ni 80 hadi laki, pa ukweli kishenzi
mkuu naomba unielekeze hiyo
Kama unatoka mwenge shuka mbezi shule upande huo huo wa barabara kwa mbele kdg utaiona iko road tumkuu naomba unielekeze hiyo