Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Na hidden camera wanazo ili baada ya shughuli wakublackmail vizuri.
 
Kuna moja hiyo ipo Kino Shamba chini kabisa kwenye kona ukinyoosha na ile road unatokezea Best Bite. Ukipita nje unaeza dhania ni nyumba wanaish watu.
 
Kuna moja hiyo ipo Kino Shamba chini kabisa kwenye kona ukinyoosha na ile road unatokezea Best Bite. Ukipita nje unaeza dhania ni nyumba wanaish watu.
Naomba jina lake mkuu
 
Naomba jina lake mkuu
Hainaga jina hiyo ndugu. Wewe ukifika Biafra kuna road inashuka chini, nenda nayo moja kwa moja mpaka chini huko utakuta kuna road nyingine inapinda kushoto, nyingine inaendelea kulia. Hapo hapo kwenye kona kuna nyumba ina geti mbili, zote kubwa. Ingia hapo hata usiogope
 
Hiyo ndio hii inayoitwa PR Hotel hapo karibu na Uwanja wa Taifa ninayosikia unaingia na gari hadi chumbani?
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako

Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
 


Sinza kwa ukahaba, sishangai kuona Hotel ulizozitaja nyingi ziko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…