daah...mimi natafuta iliyojificha fichaKama unatoka mwenge shuka mbezi shule upande huo huo wa barabara kwa mbele kdg utaiona iko road tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nyingi hasa tegeta kwa ndevudaah...mimi natafuta iliyojificha ficha
ni pm majina mkuu
Daaah, njoo uniibe amu, unifiche mpaka nikome!!!zote hizo ziko barabarani main road kasoro kibadamo waingia ndani kidogo hiyo ya sinza mori siijui.Mimi kama naiba mume wa mtu atanikoma ntakavyomficha lol
Hivi Namnaan bado IPO?wacha weeeee, mmeiacha Namnaan hiyo ndiyo kiboko kwa wake/waume za VIGOGO wa KATI
ipi hiyo wana hidden cameraNa hidden camera wanazo ili baada ya shughuli wakublackmail vizuri.
Naomba jina lake mkuuKuna moja hiyo ipo Kino Shamba chini kabisa kwenye kona ukinyoosha na ile road unatokezea Best Bite. Ukipita nje unaeza dhania ni nyumba wanaish watu.
Hainaga jina hiyo ndugu. Wewe ukifika Biafra kuna road inashuka chini, nenda nayo moja kwa moja mpaka chini huko utakuta kuna road nyingine inapinda kushoto, nyingine inaendelea kulia. Hapo hapo kwenye kona kuna nyumba ina geti mbili, zote kubwa. Ingia hapo hata usiogopeNaomba jina lake mkuu
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.Hiyo ndio hii inayoitwa PR Hotel hapo karibu na Uwanja wa Taifa ninayosikia unaingia na gari hadi chumbani?
HahahahahhHahahah mpwa nashangaa watu wanataja gesti na mahoteli ambayo hata mapadre na mashehe wanayajua. Ukitaka kujua machimbo ambayo hata Dito hakuyajua nitafute mimi au Madame B tukupe dairekshen. Tumebobea kwenye hiyo fani
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;
1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
Nani kafukua hili kaburi shemeji?Hahahahahh
Nakumbuka mbali sana
Hahahaha mbona umesahau kuongelea vioo vikubwa ukutani?Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako
Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
Walimwengu hao shem.Nani kafukua hili kaburi shemeji?