mkuu nielekeze iko wapiImasko ipandishwe hadhi kuwa Hoteli ya kimataifa
Bado ipo hi?[emoji1787][emoji1787]Imasko ipandishwe hadhi kuwa Hoteli ya kimataifa
Hapo conway magomeni kagera sasa ivi pamekua pakifala, manager wa hotel yule jamaa mweusi sometime amacheza mapicha niligongewa mlango kufungua nakuta raia kibao,, hivi karibuni niliwaletea kisanga cha hatari hadi leo kesi iko polisi,Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;
1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
ulifumaniwa auHapo conway magomeni kagera sasa ivi pamekua pakifala, manager wa hotel yule jamaa mweusi sometime amacheza mapicha niligongewa mlango kufungua nakuta raia kibao,, hivi karibuni niliwaletea kisanga cha hatari hadi leo kesi iko polisi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaoneana mwenyeji sana eneo hiloKiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.
Body without head
Umewahi kuibia nini #Queen Horse??Twiga Inn keko juu njia ya kuelekea jkt
na nguvu wala maono kbs..!tuwe wapenzi wasomaji tuπnashukuru mungu sina vigezo vya kuchangia uzi huu,hii ni dalili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako
Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
Kote huko ulishapelekwaConway pale barabarani sana.....
Vinna hotel-mabibo papo poa
Mdawi lodge-Kigambon
Fan lodge-Iringa
Girrafe hotel-Mbeya
Blue bay-Zanzibar
OMGLA promise hotel buguruni,hapo namtafuniaga mke wa jirani yangu
He he una hela lakini?
Naweza kukuficha kumbe apeche alolo ukijikuna watoa ukurutu.
acha uzinzi mkuu...... na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
ile who told you ya tegeta bado ipo jamani?
anaananigeuza mwanafunzi ghafla.
manengelo njoo bas pmMambo yote buguruni
Umefurahi nini babeHahahahahaaaaaaabbaaahababahabahahahah
Umefurahi nini babe