Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Imejificha kwa ndan then ina parking ndan ya hotel kiasi mtu wa nje hawez kuona hata alama ya gar kwa wale wenye usafiri wao... Wanaingiaga watu maarufu humo kma wasanii,wanasiasa na wafanyabiashara wanaojulikana

Kazi kweli kweli!
 
zote hizo ziko barabarani main road kasoro kibadamo waingia ndani kidogo hiyo ya sinza mori siijui.Mimi kama naiba mume wa mtu atanikoma ntakavyomficha lol
 
Hahaha mie ntajulia wapi bwana. Sasa ukiiba nke wa ntu unampeleka taarab ama?

Duh. Kama ujasusi ama fbi hivi. Cheating is a project aisee. Nikiconfirm paw ananicheat kwanza ntampa pole kwa sababu najua atakuwa alitumia nguvu nyingi sana kujificha.
Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head
 
Last edited by a moderator:
kumbe ile aliyobambwa nayo Mh Malima inafaa ihamishiwe Dar?
 
wewe kuuona ufalme wa mbinguni itakuwa kazi sana, ponda raha sasa ila moto na kiberti vinakusubiri
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.
 
Dah na kibadamo jaman, nalalaga pale nikitua ubungo usiku, yan unashuka na lift yako unakuta pako kimiaaaa unajiuliza hivi hii floor yote nipo mm tu? Ila pazur tho hayo ya kwenda na mke/mme wa mtu mh!
 
Utupe na bei yake sio unachomaa mafuta halafu. Bei ya kuchoma mfuko

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
nahitaji kuwa na bastola jamani nifanyeje?

nenda kawaone kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa watakupa form utajaza then watachunguza nyendo zako wakiridhika wanakupa kibali kama upo tz nenda moshi tanganyika arms utachagua uipendayo then ........then kuwa makini usipoua itakuuwa.......
 
Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head

ha ha ha ha ha hii kali sana umeua
 
Haya ndiyo tunayowaza wabongo sie. Hivi tutapata muda gani wa kufikiria mipango ya kimaendeleo kwa upana wake. Mungu tusaidie atleast kila tuamkapo tuwaze maendeleo na sio mambo ya namna hii. Amen
 
Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head
unaingia room imeandikwa CAPE TOWN , chumba kikubwa kama sebule bafu nalo kubwa kama chumba cha kupanga sinza ttz feni na kitanda vinapiga kelele kama vimetumwa na majirani , mapazia ya mwaka 2000 daah
 
Back
Top Bottom