Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

zote hizo ziko barabarani main road kasoro kibadamo waingia ndani kidogo hiyo ya sinza mori siijui.Mimi kama naiba mume wa mtu atanikoma ntakavyomficha lol

Hebu weekend hii njoo uniibe mimi..
 
kuna ile B&B Hotel, mwenge unaingilia pale nakiete, imejificha ile asee..unapaki gari ndani kimshazari plate number haisomeki au inazibwa kabisa na special plastic
 
unaingia room imeandikwa CAPE TOWN , chumba kikubwa kama sebule bafu nalo kubwa kama chumba cha kupanga sinza ttz feni na kitanda vinapiga kelele kama vimetumwa na majirani , mapazia ya mwaka 2000 daah

Du! Wewe inaonekana ni mteja mzuri sana mkuu.

Body without head
 
Imejificha kwa ndan then ina parking ndan ya hotel kiasi mtu wa nje hawez kuona hata alama ya gar kwa wale wenye usafiri wao... Wanaingiaga watu maarufu humo kma wasanii,wanasiasa na wafanyabiashara wanaojulikana

Nimeiona imeturia sana ac zina nguvu sana, inafaa ktk kipindi hiki cha joto kali.

Body without head
 
Mmmh Watu wabaya sana...mimi sina habari na wake za Watu ila hapo Kibadamo nimewahi pumzika na shemeji yenu ni patulivu sana na Wale wahudumu wastaarabu sana, mara zote naenda na mpenzi wangu na wanatuhudumia vizuri, wanashangaa jinsi ninavyompenda mpenzi wangu..naonaga kama wanatamani wangekua wao vile..ha ha!natania tuu...
NB ACHENI WIZI WA WAKE/WAUME ZA WATU MTAPIGWA RISASI.
 
Mmesahau nice star pale maeneo ya mlimani city. Mikocheni kuna chocho moja linaitwa kwa waitara. Kule mitaa ya kunduchi kuna chimbo linaitwa tripple j. Huko ni balaa. Boko kuna sehem inaitwa sundowner...nayo ni noma.
 
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.

Tafiti hii umeifanya kwa mda gani?
 
gest.jpg


hii iko pande za tandale safi sana.
 
Mmepasahau IKULU, pale magogoni. mke wako akiingizwa kule utajua?
 
Aisee nielekeze hii tripple J
Mmesahau nice star pale maeneo ya mlimani city. Mikocheni kuna chocho moja linaitwa kwa waitara. Kule mitaa ya kunduchi kuna chimbo linaitwa tripple j. Huko ni balaa. Boko kuna sehem inaitwa sundowner...nayo ni noma.
 
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo mpaka Guest za Bei nafuu kwa hiyo angalia wapi wewe unaweza kumudu;

1. Q Bar& Guest House, Oysterbay
2. Atlantis Hotel,Oysterbay
3. Conway Hotel, Magomeni Kagera
4. Universal Inn, Sinza Mori
5. Wanyama Hotel, Sinza Mori
6. Atriums Hotel, Sinza Africa Sana
7. City Style, Sinza Mugabe
8.Kibadamo Hotel,Ubungo Stendi ya Mkoa
Uzuri wa hotel/guest house hiz ni kuwa hazina watu wengi so mtu unakuwa free kuingia na incase inatokea fumanizi wahudumu wakewapo friendly na hutoa ushirikiano wa kutosha kwa kutoroshea emrgeny door.

Bei beiiiii
 
Back
Top Bottom