Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

hakuna tena siri!

kila kitu sasa kiko wazi!

subirini kutembezwa uchi mtaa wa kongo kariakoo!
 
Kule Mbagala kuna Serengeti lodge..iko mafichoni..kazi kwenu..
 
Kuna guest iko pande za tegeta ,dah ile ni nouma,ukiingia room tu unakuta picha za watoto wakal kibao,halaf unachagua,utakayempenda unaitiwa fasta,pesa yako tu,yaan full kujiachia,jina la guest silitaj mtajazan bure,maana ni secret service
 
Conway pale barabarani sana.....

Vinna hotel-mabibo papo poa
Mdawi lodge-Kigambon
Fan lodge-Iringa
Girrafe hotel-Mbeya
Blue bay-Zanzibar
 
Bado inaitwa Imasco?? kama vile imebadilishwa jina...
 

Hiyo ndio hii inayoitwa PR Hotel hapo karibu na Uwanja wa Taifa ninayosikia unaingia na gari hadi chumbani?
 
Nahitaji kuwa na bastola jamani nifanyeje?

Kwa ajili ya kumuua nani?? halafu ukishamuua huyo uliyemkusudia unajisalimisha ukateseke na kesi na baadae ukahukumiwe kunyongwa bila ya kunyongwa kwa miaka mingi huku ukiwa na hofu ya kunyongwa any time?? kama kusudi lako ni kujia hata sumu ya panya yenye bei rahisi inaua huhitaji kutumia fedha nyingi kwa ajili ya bastola, jiue haraka...
 
Ila gesti za milango mingi ndio nzuri maana wengine hua hatupendi tujulikane hua tunsfanyaa
 
Hiyo ndio hii inayoitwa PR Hotel hapo karibu na Uwanja wa Taifa ninayosikia unaingia na gari hadi chumbani?

Ndiyo yenyewe, gari tinted mpaka ndani mlango unafungwa, unaibukia chumbani, kisha mhudumu anakusubiri ktk mlango wa corridor umpe HeLa kama ni vinywaji umuagize, hutaki kuonekana pitisha HeLa chini ya mlango, ukimaliza unarudi ktk gari, ukipiga start tu wanafungua gate unatoa gari na kuondoka zako bila kuonekana kwa yeyote.

Body without head
 
Kuna kiboko yao KILIMANJARO PARK SINZA MAKABURINI ni bar ya gorofa1,ukiingia bar unaenda chooni ni karibu na mapokezi unnajifannya unaenda kujisaidia unalipa kisha unapanda ngazi ya ghorofa kama unaenda bar ya ukumbini juu unapotelea hapo kati unazama chumbani kuna kila kitu na unaagiza kila kitu kwa kutumia simu za vyumbani, au ukiingia unaenda bar ya juu ghorofan ukitaka kuingia chumbani unashuka unapotea kati ukitoka unashuka umeua!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…