Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Hahahaha mbona umesahau kuongelea vioo vikubwa ukutani?
Hahahah....gesti ina dressing table kubwa kama chumba cha make up.
Chumba kimoja, dressing table 3, za nini zote hizo?
Dah, ila vitanda ndo sio.
Mie na wewe tukidinyana tu, tunaangusha kitanda shem.
Lini tujaribu?

Ila ile zamani ilikuwa gesti vile vile au ilikuwa ukumbi?
Maana si kwa ukubwa wa vyumba vile.
 
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako

Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
Hahahahahahaaaaa sasa kwenye mangazi na kona ulifuata nini na wewe?
 
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako

Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
Daaah wamekuingiza mpaka hapo? [emoji38] [emoji38] [emoji38] mimi nilipotea wakati wa kutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako

Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.

[emoji16][emoji16][emoji16] mkuu unasemea kituli kama kituli hiyo ipo bugurun rozana karibu na msikit
 
Hahahah....gesti ina dressing table kubwa kama chumba cha make up.
Chumba kimoja, dressing table 3, za nini zote hizo?
Dah, ila vitanda ndo sio.
Mie na wewe tukidinyana tu, tunaangusha kitanda shem.
Lini tujaribu?

Ila ile zamani ilikuwa gesti vile vile au ilikuwa ukumbi?
Maana si kwa ukubwa wa vyumba vile.
Kwani dadaako siku hizi kaacha wivu?
 
Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head
Haahaaahaa...@Rich Pol uliua hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom