Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head
Duh..hiyo kiboko mkuu naomba unipe code ili nijipange weekend niende hapo maana kuna mke wa askari mmoja hivi anajilengesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha kuna moja ipo kule kinyerezi barabara mpya mkono wa kulia nikijaga dar huwa naendaga, sema kwenye vyumba vyao hamna network...
Sasa hamna network hakuna je likitokea fumanizi utawajulisha vipi masela waje kukuokoa maana ukiandika barua umpe mhudumu aipeleke kitaani kwenu na foleni za magari njiani mpaka wakafike ushabebeshwa mimba ya mapacha.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna zilizoko nje ya mji???
Ipo moja pale vingunguti nimeisahau jina iko mafichoni sana bei chee buku mbili tu.!
Ina vitanda vya matofali ni self ila ndani vyoo vimejaa unajisaidia kwenye ndoo iliyopo kona ya chumbani,
Ina kunguni wastani na chawa kiasi ila mkimaliza kufanya yenu mwambie mwenzio akutolee vipande vya godoro kwenye nywele,
Pia kuna amani tele hivyo mmiliki akaona haina haja ya kuweka milango ameweka vipazia tu na dirishani kuna kipazia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂mie pale nimewah kaa...sikujua km ni.lodge pia..najuaga ni bar..niimekaa miaka hyo inafunguliwa
Wee hukuona watu wanaleta mizigo yao hapo....ndio watu walikuwa wanapaota machinjoni hapo
 
Haya ndiyo tunayowaza wabongo sie. Hivi tutapata muda gani wa kufikiria mipango ya kimaendeleo kwa upana wake. Mungu tusaidie atleast kila tuamkapo tuwaze maendeleo na sio mambo ya namna hii. Amen
We usawa huu una mipango ipi ya maendeleo ambayo utakaa kuijadili wakati mzee baba ameshafanya yake?
We kalia hayo hayo acha sie tufaidi mbunye za bei chee usawa huu maana enzi za mkwere mbunye zilipanda bei sana lakini sa ivi hata ukinunua chips kavu tu unagonga mzigi mpaka asubuhi na ukibahatika demu anakuzawadia na kifurushi cha "Tigo"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tegeta kuna chanika??? kwa maeneo gani pale tegeta
Ukitoka zanzibar kituo kinakuja chanika inkuj namanga..hata ukiingilia namanga poa tu..uliza who told u iko wap utaelekezwa..i mean km unaenda bunju
 
Back
Top Bottom