Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Huyu mzee alikuwa anatoa madau makubwa wengine wanasema usd10,000 wengine wanasema usd40,000.Kwa dau hilo yeye mwenyewe kaguna guna mwisho kasema kukataa ni ngumuu 🤣🤣
Waafrika tuna viongozi na utawala wa kijinga sana. Sasa mtu anatuhumiwa kwa ufisadi, mmeenda kupekua makazi au ofisi yake, na kukuta mambo mengi ikiwemo hizo tepu za ngono, Serikali na watu wake ndio ya kwanza kuziweka mtandaoni na kusababisha sokomoko linaloendelea! Unajiuliza tuna akili sisi au ni kukomoana na roho mbaya tu?Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.
Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.
Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.
=========
The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.
Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.
He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.
During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.
These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.
He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.
Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.
Source: Ahora EG
Huyo juu ya meza hakuna hata maumivu ya mgongo kudadekTantine Philomene Balthazar
View attachment 3144119
View attachment 3144120
View attachment 3144121
Bora uoe standard seven au form 4 failure wa Kijijini kuliko wasomi wa chuo au Watumishi,hao ni mafuska pro max na hawanaga aibu.Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.
Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.
Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.
=========
The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.
Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.
He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.
During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.
These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.
He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.
Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.
Source: Ahora EG
Njoo kuna laki moja tunakulana bila kurekodianaMi nakataa kurekodiwa mkuu
Video 400 je hao ambao hakuwachukua walikuwa wangpi??Jamaa nadhan kala madem wote anaofahamiana nao
Na wengine 14 wame attempt suicide wako kizuizini lknHiyo account Twitter sio yake Ni parody? na tayari mwanamke mmja amejiua hko kwao
Afu huyo dada anatako.Huyo juu ya meza hakuna hata maumivu ya mgongo kudadek
Ni wake wa vigogo au ni wadada tuu wa officini au Malaya??Na wengine 14 wame attempt suicide wako kizuizini lkn
Tena familia za kitajiriHuyu wa kupiga mvua ya maisha aisee...kasababisha kivumbi kikubwa kwenye familia nyingi
Ila lazima watapa msongo wa mawazo. Kwa mda mrefu sana kukaa sawa itachukua mda sanaNa wengine 14 wame attempt suicide wako kizuizini lkn
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.
Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.
Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.
=========
The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.
Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.
He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.
During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.
These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.
He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.
Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.
Source: Ahora EG
Si ndo hao hao aliowala sasa kama hauhusiki kwann ujiue hao waliotaka kujiua ndo hao aliowala ni kama asilimia 90 ya wanawake kwenye hizo videoHao ambayo alikuwa nao.
Ao ulisema kuwa walijaribu kujiua?