Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilimo ni fursa, kilimo kinalipa ndrugu zango 🐒View attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
Hamuwezi kumfanyia Kampeni huyo bimdogo wa Amsterdam bila kumtaja Mbowe?View attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
Mbowe tenaView attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
Mbeya nimeona vinakubali sanaIringa, Mbeya, Manyara, Kilimanjaro, Morogoro (Mgeta), nadhani hata Tanga pia....kiujumla kwenye maeneo ya Hali ya ubaridi
We mjinga mbowe kazaliwa familia ya kitajiri? inaonekana hujui hata Historia ya Familia yao,Ujinga mwingi sanaView attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
Unataka ulime kisa ibauzwa ghari au ndio hobby yako? Wakulima wa Bongo tunachekesha sana,Aiseeeeeeh mweny kujuaaa mikoaaa wanayolimaa iyo kitu atwambieee tupate data
Somo kwa sbabau umesikia gunia ni milion 1? au somo kwa sababu ndio hobby yako?Nahitaji somo la kilimo hiki
Manyara hasa katesh na mbuli kuna baadhi ya maeneo wanalima niliona
Baadhi Yao mkuuVipi hao wakulima ni Mabilionare kwa aasa?
Sahihi mkuuKuna project moja tuliwahi kuifabya ya kilimo cha Mbegu za maua, sasa kuna baadhi ya Maua wale Wasunhu walikuaa wananunua kilo 1 sh 500,000/ kuna baadjhi ya maua walikuwa wananunua sh 100,000/ 50,00/ hadi 3000/
Sasa wakulimwa wengi walikuwa wanakimbilia kutaka kulima yale amua ambayo bei yake kilo ni sh 500,000/ Bila kujua mziki wa kililo chake sio wa kitoto na unaweza lima ukaambulia kupata nusu kilo tu ya mbegu.
Sasa kitunguu swaumu kuuzwa ghari sio kwamba kuna mteremko kwenye kulima. La sivyo kule wanako lima wangekuwa mabilioanre basi kwa sasa ila ukifika kule wanako lima wakulima ni wa kawaida sana.
Sasa hivi sick ni iitunguu swaumu kimuja ni jero kwa bukuSema kweli milion?
Mimi ni mkulima shekheeSomo kwa sbabau umesikia gunia ni milion 1? au somo kwa sababu ndio hobby yako?
Inabidi utie timu kujifunza kwanza alafu unaanza na uwekezaji mdogo ili upate uzoefu kabla ya kutia miguu yoteMbeya nimeona vinakubali sana
😃😃😃View attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.