Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana kama ninyi ni mzigo kwa taifa hakika shule za kata zilaaniwe sana....watu wanalima tikiti na wanapiga mishindo mikubwa tu ila wewe kipoda ulienda na matokeo yako kichwaniYeah, yaan usikie tu. Nilijichanganya nikaenda Kulima matikiti Mkuranga. Aisee
Ngoja tuone..View attachment 3183523
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake.
Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
Hili zao bei ikiamka inaamka kweli
+ tunguu majiPamoja na nyanya kuna mda zinakuwa adimu na bei inachangamka
UNamaana ganiMkuu
Sasa Hivi Hakuna COVID 19
Hahahaha huyo sio fani yako mkuu. Fani yako ni Magari bosi.Yeah, yaan usikie tu. Nilijichanganya nikaenda Kulima matikiti Mkuranga. Aisee
Mwambie akasome somo la demand and supply ndo aende akalimeUnakumbuka enzi za zao la Vanilla. Walisema kilo moja 800,000 imagine.
Mkoa wa Manyara,Mbulu na Dongobesh eneo linaitwa Bashai vinalimwa sana...Aiseeeeeeh mweny kujuaaa mikoaaa wanayolimaa iyo kitu atwambieee tupate data
BBT ile wanayojuta na kulalamika kila siku kutapeliwa na Bashe au nyingine mkuu?vijana tukiwambia BBT ndio mkombozi wao wanashupaza shingo
Hiyo Bidhaa Wakati Wa COVID 19 Ilipaa Bei Maana Mabibo NIMR Walikuwa Wanasaga DawaUNamaana gani
Ni Kweli kulima Kitunguu hata ukiuza Laki na Nusu Bado Hela ipo.Nakumbuka mkuu. kwa swaumu ni muda sasa huku kahama tunanunua kitunguu swaumu kimoja kwa 500 kibwa1000 kimoja. sijawahi lima zao hili lakin kama halina changamoto sana sio mbaya hata ukiuza kwa 400k. Sina utaalamu nalo wowote