Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Raisi Gustavo Petro ameonesha kutoamini kinachoendelea Gaza mbele ya mataifa makubwa yanayojinadi kusimamia utawala bora wa kidemokrasia.
Hata hivyo mbele ya mshangao wake raisi huyo alipata jawabu kwa kusema,hayo yanayotokea ni kutokana na kuwa wamiliki wengi wa mabenki na taasisi za kifedha ndio hao hao wanaounga mkono maangamizi ya watu duniani.
Katika kauli yake kwenye akaunti yake ya X zamani twitter akasema hali hiyo ikiendelea si kuwa inatishia uwepo wa wapalestina peke yao,bali kuendelea kwa demokraisia na hisia za kibinadamu kwa jumla.
--
Gustavo Petro said in a post on social media that “so-called powerful” democratic countries were unable to oppose Israel’s war on Gaza because “many owners of banks and capital funds belong to people who support the massacre”.
Petro said the inaction of such states “endangers not only the existence of the Palestinian people but the very existence of democracy and humanity”.
“Power in geopolitics today is nothing more than accumulated money and warplanes,” he said, “hopefully tomorrow, it will be accumulated life”.
Colombia’s leader has been an outspoken critic of Israel and its war on Gaza, ordering last week that a Colombian embassy be opened in Ramallah in the occupied West Bank following the announcement that Bogota would sever diplomatic ties with Israel.
Hata hivyo mbele ya mshangao wake raisi huyo alipata jawabu kwa kusema,hayo yanayotokea ni kutokana na kuwa wamiliki wengi wa mabenki na taasisi za kifedha ndio hao hao wanaounga mkono maangamizi ya watu duniani.
Katika kauli yake kwenye akaunti yake ya X zamani twitter akasema hali hiyo ikiendelea si kuwa inatishia uwepo wa wapalestina peke yao,bali kuendelea kwa demokraisia na hisia za kibinadamu kwa jumla.
--
Gustavo Petro said in a post on social media that “so-called powerful” democratic countries were unable to oppose Israel’s war on Gaza because “many owners of banks and capital funds belong to people who support the massacre”.
Petro said the inaction of such states “endangers not only the existence of the Palestinian people but the very existence of democracy and humanity”.
“Power in geopolitics today is nothing more than accumulated money and warplanes,” he said, “hopefully tomorrow, it will be accumulated life”.
Colombia’s leader has been an outspoken critic of Israel and its war on Gaza, ordering last week that a Colombian embassy be opened in Ramallah in the occupied West Bank following the announcement that Bogota would sever diplomatic ties with Israel.