keneddelly
Member
- Feb 11, 2020
- 41
- 70
- Thread starter
- #21
Kwa sasa naruhusu wachache (verified) kupost bidhaa..in future kama kutakuwepo na matokeo chanya naweza kuongeza baadhi mambo ili kumlinda mteja.Kikubwa hapo ni suala la utapeli bongo utakuja kukuweka matatani alafu pia je unakula commissions au fee ya kutangaza payment intergresion zikoje usalama na urahisi wa malipo
Refund policies n.k
Anyway nakuja PM