Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

Sina lakusema kuhusu hilo sijui kama ameandaa bussiness plan angekuja kusema soko lake anatarget wateja gani
Biashara ni ubunifu, huenda jina la biashara la Bishoo huenda ni sehemu ya Ubunifu wake.
 
Jamii online Shopping (JOP)
O-Shop Store
Kitonga Online market (KOM
Tanzania Online Market (TOM
Online Duka (OD MARKET
Duka Mtandaoni
Duka Kiganjani
Ongezea tumpe jamaa wazi la jina zuri la biashara yake.
BISHOO ONLINE MARKET (BOM

Halafu uwe na maduka specific kwa mfano uwe na mkataba na Duka moja la mavazi, electronics, hardware, utensils nk ili iwe rahisi kukontrol biashara yako na kupunguza utapeli watz tunawajua
 
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania.

Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze.

Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo.
Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo

Ni hivyo tuu ,mbarikiwe sana.
Mwanzo mzuri, hongera sana. Ushauri wangu katika kuboresha zaidi:
1. Nakushauri kuwa uende mbali zaidi, iongezee "value" idea yako... How? Kwa mfano, ishu kubwa sana ya online business kwa Tanzania kwa sasa ni TRUST; Watu wengi sana wanapigwa (pande zote, wauzaji na wanunuaji), can your site solve this issue? If the answer is YES, you are a billionaire in the making. Fikiria kuhusu hilo, how will you solve the trust issue ya online business kwa bongo kwa kupitia site yako? That should be your VALUE. Na hiyo ndo inakua SELLING POINT ya site yako, hata kwenye matangazo, unakua unaongelea kuwa YOU BRING TRUST TO THE ONLINE BUSINESS.
2. Mpangilio wa rangi: Nashauri uangalie kwa makini mpangilio wa rangi kuu za site yako-Kwa sasa naona mpangilio huu bado unahitaji maboresho zaidi. Jaribu kujisomea zaidi na kutafiti zaidi juu ya combination za rangi kwa ajili ya kuongeza mvuto na kuipa utulivu website yako.
3. Jina-Jaribu kutafuta jina ambalo litakua ni rahisi, linalokumbukika kirahisi, na pia ambalo linaleta mtazamo chanya wa site yako. Hii inahitaji muda hata hivyo, kwa hiyo tulia, uendelee kuangalia namna ya kuboresha zaidi. Fikiria kwa mfano jamaa waliotengeneza sabuni ya OMO; Hivi walifikiria nini kuiita sabuni yao OMO?
Otherwise, hongera kwa udhubutu, kazi nzuri sana!
keneddelly
 
Biashara hii inalipa sana ila ndio hivyo watu wengi wameshindwa hii biashara sababu kukosa bussiness plan
Huenda hiyo ni sehemu moja wapo ya tatizo, japo nafahamu ishu ya uaminifu pia huchangia.

Mteja anapenda bidhaa fulani, lakini kwenye delivery unaletewa kitu kingine kabisa
 
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania.

Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze.

Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo.
Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo

Ni hivyo tuu ,mbarikiwe sana.
Chukua maua yako mkuu.

Naiona Alibaba ya Afrika inazaliwa Dar es salaam
 
Mwanzo mzuri, hongera sana. Ushauri wangu katika kuboresha zaidi:
1. Nakushauri kuwa uende mbali zaidi, iongezee "value" idea yako... How? Kwa mfano, ishu kubwa sana ya online business kwa Tanzania kwa sasa ni TRUST; Watu wengi sana wanapigwa (pande zote, wauzaji na wanunuaji), can your site solve this issue? If the answer is YES, you are a billionaire in the making. Fikiria kuhusu hilo, how will you solve the trust issue ya online business kwa bongo kwa kupitia site yako? That should be your VALUE. Na hiyo ndo inakua SELLING POINT ya site yako, hata kwenye matangazo, unakua unaongelea kuwa YOU BRING TRUST TO THE ONLINE BUSINESS.
2. Mpangilio wa rangi: Nashauri uangalie kwa makini mpangilio wa rangi kuu za site yako-Kwa sasa naona mpangilio huu bado unahitaji maboresho zaidi. Jaribu kujisomea zaidi na kutafiti zaidi juu ya combination za rangi kwa ajili ya kuongeza mvuto na kuipa utulivu website yako.
3. Jina-Jaribu kutafuta jina ambalo litakua ni rahisi, linalokumbukika kirahisi, na pia ambalo linaleta mtazamo chanya wa site yako. Hii inahitaji muda hata hivyo, kwa hiyo tulia, uendelee kuangalia namna ya kuboresha zaidi. Fikiria kwa mfano jamaa waliotengeneza sabuni ya OMO; Hivi walifikiria nini kuiita sabuni yao OMO?
Otherwise, hongera kwa udhubutu, kazi nzuri sana!
keneddelly
Ahsante sana kaka,umenipa mwanga wapi pa kuanziaa
 
Jamii online Shopping (JOP)
O-Shop Store
Kitonga Online market (KOM
Tanzania Online Market (TOM
Online Duka (OD MARKET
Duka Mtandaoni
Duka Kiganjani
Ongezea tumpe jamaa wazi la jina zuri la biashara yake.
BISHOO ONLINE MARKET (BOM

Halafu uwe na maduka specific kwa mfano uwe na mkataba na Duka moja la mavazi, electronics, hardware, utensils nk ili iwe rahisi kukontrol biashara yako na kupunguza utapeli watz tunawajua
Ahsante sana kaka…Umenipa idea nyingine nzuri
 
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania.

Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze.

Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo.
Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo

Ni hivyo tuu ,mbarikiwe sana.
Tenganisha product na kuz group
Kama n electronics furniture, clothing...
SIo kuzichanganya zote.

Weka sehem ya product description na review za walionunua
 
Tenganisha product na kuz group
Kama n electronics furniture, clothing...
SIo kuzichanganya zote.

Weka sehem ya product description na review za walionunua
Asante sana boss
 
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania.

Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze.

Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo.
Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo

Ni hivyo tuu ,mbarikiwe sana.
Hongera kwa kazi nzuri ulioifanya

Swali langu ni wewe utapataje pesa kupitia trade zitakazo fanyika kwenye hio website? Ukiachana na Ads/domain

Ni wazo zuri. Ila mm naona hao watu wenye bidhaa kwenye hio platform yako. Ungekuwa una Team yako ambayo imewakagua kuwa ni legit na duka lao au sehemu zao za kazi unazifahamu ikibidi uwe navNida/ TIN number zao hata siku wizi ukitokea unawakuwapata.

Naona ubadili jina la website kama una lengo ya kui scale kuwa kubwa kwani ni wazo zuri balo ata ukiwapelekea watu wakubwa au kampuni wanaweza kukufadhili. Kwangu mimi naona bishoo limelenga sana vijana kwa mawazo ya haraharaka . Je ni kwanini umeamua kuiita bishoo?
 
Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania.

Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze.

Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo.
Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo

Ni hivyo tuu ,mbarikiwe sana.

Hongera ndugu kwa uthubutu.

Mwanzo mzuri. Cha maana ni kuchukua criticism zote na kuzifanyia kazi. Hiyo itaboresha kazi yako na huduma pia.

All the best!
 
Back
Top Bottom