Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hommie wapenda kufuliwa kumbe? Usisahau wanahitaji vidogo tu toka kwetu........!😎
:washing:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hommie wapenda kufuliwa kumbe? Usisahau wanahitaji vidogo tu toka kwetu........!😎
:washing:
Hommie hii nayo ni topic inayojitegemea.....ha ha ha!!Hommie wapenda kufuliwa kumbe? Usisahau wanahitaji vidogo tu toka kwetu........!
Hommie nisome kama ulivyoandika au katikati yake?
The Following 2 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Ninapata wasix2 maslahi ya kaka mkubwa yanataka kula kwangu LOLKiongozi utakula ban la kuingilia maslahi ya kaka mkubwa. LOL! Unakaba mpaka penalti?
Umenikuna na ni kweli kabisa, ila ladies nao wafaham kwamba hata guys wanahitaji hizo nyama za ulimi!, nyama hii ni kupeana na si mtu mmoja ndo awe anatoa tu! 😛ound:
Wanawake ni malaria ya kwenye figo, hawaponi mpaka ufe! Mi nilishaacha habari za kuwafatilia na kujitahidi kuwajua, nimemuachia mungu!
ni kweli most of us tunaridhika na vitu vidogo X2 lkn vinavyotofautiana ila majority ni softwords tuu zinatulainisha kabisaaa.
Do! angalia asije akajimeza mwenyewe huko....Sitakuwepo kujibu kesi.Nimalizie kiongozi? (Ungemtafuna tigo yake kavukavu) Sijasema kitu hapo usininukuu vibaya:banplease:
Vyote kaka mkubwa.Hatari kipi hapo: Klorokwini au bange?
Aisee.......hebu Ni-PM basi ( vitu vingine si vizuri kuweka public)ni kweli most of us tunaridhika na vitu vidogo X2 lkn vinavyotofautiana ila majority ni softwords tuu zinatulainisha kabisaaa.
FL1 huna sababu ya kunyanyua jembe kwenda kulima
Elimu unayotoa hapa asilimia mia imesimama
Wanaume ubabe kutembeza kila siku kulalama
Nyama ya ulimi tamu lakini akili kumkichwa
Ndoa hailindwi na shoka FL1 anatuasa
Nyama ya ulimi pasipo mfuko kutuna Kingi anabisha
Maisha yamebadilika nyama ya ulimi miaka ya arobaini
Leo kiama kimewasili ndoa kama kampuni inaendeshwa
Jaribu yako bahati nasibu yako kuendesha
Tamati nafikia Mungu atangulizwe nyama ya ulimi inyumbulishwe
Dah mwanawane....kwa hiyo hizi ndugu ni kama renal malaria... rarest case in medicine.Halafu dawa za Malaria ni filterable kwenye Bowman's capsule,ina suggest ukweli kwamba wafa nayo ikikupata that kinda malaria.Wanawake ni malaria ya kwenye figo, hawaponi mpaka ufe! Mi nilishaacha habari za kuwafatilia na kujitahidi kuwajua, nimemuachia mungu!
..na Vitz, sio Landcruiser!!!!kwa hiyo mnahitaji vitu vidogo tu kama:
ice cream
sunvita
bigijii
chokoleti
pipi
popcorn
vitu vidogo vidogo tu AU SIO?
Mj, tatizo hapa liko na hawa therengetiz, ila kwa wae ambao akili isha komaa na wengi wao wako kwenye na washaanzisha family, inalipaLady N si wanawake wengi wa kizazi hiki! Eti softwords tu! Acheni kuishi kwenye fairy tales!
kwa hiyo mnahitaji vitu vidogo tu kama:
ice cream
sunvita
bigijii
chokoleti
pipi
popcorn
vitu vidogo vidogo tu AU SIO?