dlnobby
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 2,514
- 3,348
Achana na vitoto vya WCB hivyoo....Umaarufu autafute Gwajima, are you serious?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na vitoto vya WCB hivyoo....Umaarufu autafute Gwajima, are you serious?
Yeye alishasema ukimgusa tu ujue hiyo ni "single touch double msnifestation"kama ni ya Zari mbona tunaijua? au ya baba yake Dai yote hayo twayajua, au ya Freemasn....mbona hayo pia tetesi twazijua? anyways kesho sio mbali
Likiisha hili tunarudi kwa bashiteNchi ina mambo hii. Kila siku linaibuka jipya.
Haya, La ROMA limeshazaa lingine, yaani hatupewi break.
haaaa mie Halotel ishajazwa kifurushi cha mwezi... kesho nimpate baba mchungaji Mubashara YoutubeUkiwa na kitochi,au smart 4ne bila bundle,nchi utakuta ishauzwa hujui.
Mtafute diamond mwambie alichofanya au ndiyo viazi vya gairoSiri gani Diamond anayo. Huyo Gwajima anatumia kanisa vibaya visasi tu
Diamond is a king
Wengine hatuzijui ngoja Gwajima atuambie.kama ni ya Zari mbona tunaijua? au ya baba yake Dai yote hayo twayajua, au ya Freemasn....mbona hayo pia tetesi twazijua? anyways kesho sio mbali
Kwa hiyo Gwajima na Diamond nani maarufu, Gwajima umaarufu wake upo mijini tu wakati Diamond kila kona ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.!Gwajima apate umaarufu kwa diamond?
Diamond ameingiza mguu kwenye mashine ya kusaga na kukoboa.Diamond naye. Anawachokoza hata. Wasio chokozeka.
UsipanicHiyo ndiyo ibada aliyoiandaa kwa ajili ya mabwege yake.
Aseme tu huo upuuzi wake.
Kazi pekee ya viongozi wote wa dini Duniani ni kuamrisha mema na kutukataza mabaya tu na missions yao kubwa ni kutuonyesha njia ya kuelekea peponi au paradiso tuJamaniii ivi hujui kiongozi anapokosea anasemwa na kuonywa na kiongozi wa dini?umesahau mamlaka imewekwa na Mungu?swali mamlaka IPI hiyo na inatumia sheria zipi?mamlaka inayotumia sheria za Mungu lazima ihojiwr according to sheria iliyoiweka hiyo mamlaka,,
Bishop sio mchungaji!!!MWENDAWAZIMU GWAJIMA MNAMWITA MCHUNGAJI MCHUNGAJI GANI ALIYEGEUZA KANISA KUWA JENGO LA MIPASHO???? MNANITIA KINYAA KUMWITA ETI BISHOP
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Diamond ameingiza mguu kwenye mashine ya kusaga na kukoboa.
Wacha nae apate kinachostahili...Diamond ameingiza mguu kwenye mashine ya kusaga na kukoboa.