Gwajima amcharukia Diamond

Gwajima amcharukia Diamond

Huyo Gwajima wenu hajawahi kuishi uswahilini na hawajui watoto wa uswazi!Gwajima atampakazia nini Daimond mpaka ajisikie ovyo? Watoto wa uswazi wamefanya mengi ya ovyo bila mshipa wa haya utakachokuja kusema later in life hakina impact kwao as long my yao yamechange kiutamuutamu na moja ya good past time yao nikujikumbusha ujinga ujinga wao
Sio kujisikia hovyo, nia ni kuharibu brand.

Watoto wa uswazi ndiyo fisi gani hao?
 
hahahaha kweli dogo awatch out itamcost hawa wanasiasa c watu wakuwaendekeza asome alama za nyakati lile shimo shigongo alimwambia atalichimba mwenyew
 
Hadi naona aibu. Sisi wasukuma... aibu hii. Mara Frent forji, mara Bashite...huku nako baba mchungaji daa
Dah mi naumia makonda na magufuli ni miongoni mwa watu niliowakubali sana
 
6tag_080417-160605.jpg


Msanii yeyote akitaka kazi yake ipate promo bila kutumia nguvu nyingi basi amtaje huyo jamaa.
 
gwajima ankinukisha kesho, diamond kwa hili amekosea how come anakubali kutumiwa na jambazi bashite. anajichimbia kaburi kujiingiza kwenye ugomvi usio mhusu
 
hahahaha kweli dogo awatch out itamcost hawa wanasiasa c watu wakuwaendekeza asome alama za nyakati lile shimo shigongo alimwambia atalichimba mwenyew
Naona sasa kachimba na kuingia
 
Sio kujisikia hovyo, nia ni kuharibu brand.

Watoto wa uswazi ndiyo fisi gani hao?


Watoto wa uswazi ndo kama mimi, Mondi hata yule Malaya wenu wa chadema wa instagram pia uswazi, tumezaliwa na kukulia Kitaa kabla nyie hamjatoka kwenu Marangu huko hlf leo mnajifanya janja nyiingi,..
 
gwajima ndo kiboko,ya baba ubaya na bashite can't wait povu lake LA kesho. single touch double manifestation
 
Back
Top Bottom