Gwajima amcharukia Diamond

Sio kujisikia hovyo, nia ni kuharibu brand.

Watoto wa uswazi ndiyo fisi gani hao?
 
hahahaha kweli dogo awatch out itamcost hawa wanasiasa c watu wakuwaendekeza asome alama za nyakati lile shimo shigongo alimwambia atalichimba mwenyew
 
Hadi naona aibu. Sisi wasukuma... aibu hii. Mara Frent forji, mara Bashite...huku nako baba mchungaji daa
Dah mi naumia makonda na magufuli ni miongoni mwa watu niliowakubali sana
 


Msanii yeyote akitaka kazi yake ipate promo bila kutumia nguvu nyingi basi amtaje huyo jamaa.
 
gwajima ankinukisha kesho, diamond kwa hili amekosea how come anakubali kutumiwa na jambazi bashite. anajichimbia kaburi kujiingiza kwenye ugomvi usio mhusu
 
hahahaha kweli dogo awatch out itamcost hawa wanasiasa c watu wakuwaendekeza asome alama za nyakati lile shimo shigongo alimwambia atalichimba mwenyew
Naona sasa kachimba na kuingia
 
Sio kujisikia hovyo, nia ni kuharibu brand.

Watoto wa uswazi ndiyo fisi gani hao?


Watoto wa uswazi ndo kama mimi, Mondi hata yule Malaya wenu wa chadema wa instagram pia uswazi, tumezaliwa na kukulia Kitaa kabla nyie hamjatoka kwenu Marangu huko hlf leo mnajifanya janja nyiingi,..
 
gwajima ndo kiboko,ya baba ubaya na bashite can't wait povu lake LA kesho. single touch double manifestation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…