Gwajima amcharukia Diamond

Ni wakati wa Serikali kurudi kwenye masijara na kuangalia usajili wa kanisa la Ngwajima kama alisajili kama kanisa au tawi la kisiasa la .......
Au alisajili kama mtetea wanyonge....au alisajili kama helicopter...au alisajili kama bwawa wa samaki, au hakusajili ila alisajiliwa....nadhani ndio mawazo yako...nimekuongezea ufurahi
 
Bashite mission zake nying zinaishia njian na ya roma imeishia njian
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…