Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ww ulitaka hayo maandishi yawe ni sehemu ya mwili kama mkono? Ww una mapepo.Watanzania wengi ni wajinga sana, wewe ni mmoja wapo, hauna hata viulizo kuwa hayo ni maandishi ya kupachika hapo ktk picha??
Huyu ni mjasiliamali, kupata sadaka unatakiwa uongeze udambwi udambwi. Kesho kama kawaida mida [emoji784] ya saa nne kanisani. Ila siendi na sadakaHuyu naye anatumia kanisa vibaya. Visasi tu, Yale mafunzo yanayosema samehe anayafundishaje kanisani kwake? Du hii kali
Hahahahaa - mimi naongezea bundle tu. .Walete babaaa, waleteee...
Yani show za gwajima ni za kipekee.
Kesho mapemaaaa, siti za mbele mbele
Hallelujah!!Kama ni yeye kweli kaandika hivyo,Mungu awasaidie waumini wake kuijua kweli itawaweka huru
Naye alikudanganya, tatizo hata Biblia hamuijui mnaokota okota vijineno! Nani alikwambia hiyo ndio namna ya watumishi wa Mungu au wakristo kudeal na wahuni? Yesu alipokutana na wahuni "aliwashughulikia kihuni" vile vile, na ndio maana alipindua meza. Diamond na Bashite wanaungana kufanya uhuni kwa gharama za Diamond kulipa hisani anayofanyiwa, hivyo Mchungaji Gwajima lazima amshughulikie Diamond...maana kwa kufanya hivyo atakuwa amelisaidia taifa ambalo limejaa akina Bashite wasiojua athari zinazotokana na "ushirika wa Diamond na Bashite"!Huyu naye anatumia kanisa vibaya. Visasi tu, Yale mafunzo yanayosema samehe anayafundishaje kanisani kwake? Du hii kali
Hapo ndiyo utakumbuka kuwa "Siyo wote waniitao Bwana, Bwana watauona ufalme wa Mbinguni"Huyu naye anatumia kanisa vibaya. Visasi tu, Yale mafunzo yanayosema samehe anayafundishaje kanisani kwake? Du hii kali
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Unasubiria nini wakati inajulikana ni Gwajima??[emoji32]
ha ha ha ha haLeo lazma ujumbe wa wcb uende kwa gwajima kuomba yaishe
Na ivi ndio viwanda vyenyewe, sio mpaka uone mashine ikichambua sijui mahindi au mpunga.Kazi kweli
Nasubiria tu
Yala! Yala! Jamani Mwenzenu nimeyatimba..... lakini mi nafkiri watu wanatakiwa waiskilize hii nyimbo kwa umakini sana tena sana na wataelewa nini ilikuwa maana yangu haswa... Hususani kama kipengele nilichomtaja mzee wangu @Bishopgwajima nilisema: "mara nasikia vya aibu Konda na Gwajima eti ugomvi umekolea....ila kuchunguza kwa karibu ni kuna binti mmoja tu ndio kwa mitandao anachochea..."Gwajimaaaaaaaa
Yala! Yala! Jamani Mwenzenu nimeyatimba..... lakini mi nafkiri watu wanatakiwa waiskilize hii nyimbo kwa umakini sana tena sana na wataelewa nini ilikuwa maana yangu haswa... Hususani kama kipengele nilichomtaja mzee wangu @Bishopgwajima nilisema: "mara nasikia vya aibu Konda na Gwajima eti ugomvi umekolea....ila kuchunguza kwa karibu ni kuna binti mmoja tu ndio kwa mitandao anachochea..."Leo lazma ujumbe wa wcb uende kwa gwajima kuomba yaishe
mweeh ila mond kaniumiza sana shabiki wake,,ilibid abaki neutralGwajimaaaaaaaa