Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Hapana.Afanye kazi aliyosajili taasisi yake kufanya NO MORE,akianza kutoka nje tutamfungia leseni yake.Dola inamumulika kwa jicho kali.Dola iko imara
 
Kanisa la Gwajima limekuwa kama uwanja wa taifa, mashabiki wa simba na yanga wanaenda kishabikia timu zao...

Baadhi ya sisi watanzania ni wajinga beyond repair!!
kwa nini wananmchokoza jamani? last week alisema kafunga mjadala labda wamchokoze na leo wamefanya hivyo mnataka anyamaze??? bashite asije akalia tu
 

Jamaa wako KOLOMIJE HAHAHA KESHO WATAUMBUKA.LEMUTUZ NI NDUMILA KUWILI YAANI ANAKULA HUKU NA KULE



SWISSME
 
Show ya kesho sio ya kukosa[emoji23][emoji23]
 
Ulitaka akasome la utumwa!? Aaaaaah sorry, la uhuru!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…