Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Toka mwezi February 2017 hadi leo mchungaji ngwajima na mange kimambi wame nufaika sana Kwa kuongeza idadi ya mashabiki na wapenzi wa Kazi zao

Na kizuri ni kwamba kila wanachokisema kina 99.999% ya ukweli. Mbona hata Wewe Mkuu ukiamua tuanze kukushabikia kwa uwingi wetu inawezekana tu! Halafu siyo lazima wote tuimbe mziki bali wengine tunaweza tukawa wachezaji au washangiliaji tu na maisha yakaenda. Katika Wazalendo wa Kweli wa Tanzania kwa sasa ambao pengine wanastahili kupewa hata Tuzo ya Heshima ya ngazi ya juu kabisa basi ni Mange Kimambi na Mchungaji Josephat Gwajima.
 
Kanisa la Gwajima limekuwa kama uwanja wa taifa, mashabiki wa simba na yanga wanaenda kishabikia timu zao...

Baadhi ya sisi watanzania ni wajinga beyond repair!!

Na huwezi kuwajua wenzako ni Wajinga kama na Wewe mgunduzi siyo Mjinga uliyetukuka.
 
Kwahiyo unamtukana Rais kwa kupenda kufuatilia ubuyu wa shirika LA wambeya duniani? Hebu kuwa na adabu shubhaamet in kipanya voice
 
Yaani sijalala nacheka tu mwenyewe yaani hawa akina kaoge wasipoomba msamaha mapema asubuhi kabla yule.mama wa kipare hajaamka itakula.kwao bosi wao na mkulu pia
 


Kabisa gani linaendeshwa kwa style kama hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…