BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 555
Kiongozi, andaa suti yako ili kesho uwahi kiti cha mbele kumsikiliza Gwajima akijibu mapigo. Kama unajiandaa kwenda kumsikiliza Gwajima akijibu mashambulizi ya wabaya wake, utashindwa kuchukua rushwa ili ukipigie kura chama fulani??
Only in Tanzania!!
Nishanyoosha nguo ,sitaki kuhadithiwa hapa kabisa