Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Inchi haitajengwa kwa majibizano ya mambo binfsi ya watu.NAANZA KUKOSA MAPENZI NA NCHI YANGU AMBAYO INAENDESHWA KWA MITANDAO YA KIJAMII
Nchi haindeshwi kwa kufuata katiba na sheria wacha iendeshwe kwa mitandao ya kijamii
 
View attachment 483089
Kapost muda huu kwenye page yake Instagram
Jamani Gwajima keshatoa warning,kesho kinanuka, last week alisema kafunga mjadala unless achokozwe apige double manifestation sasa naona Bashite kamchokoza,asilie tu maana wakizidiwa utasikia oooh mtumishi gani wa Mungu hajui kusamehe
Nan nyie kina soudy brown na kwisa kesho nawaonea huruma kwenye page ya Mange maana story zenu za kula Cocaine kule mbezi zitawekwa hadharani plus michezo yenu ya ushoga
Mbaya zaidi Mama Trump naye ataanika michepuko ya ma boss wenu hapo clouds
Hongera Bashite kwa kukoroga kinyesi,movie linazidi kunoga
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Hii nchi hii inabidi tuendeshwe kidikteta, Mh.Rais JPM, nakuomba komesha huu mchezo wa kigasho gasho unaondelea baina ya hawa 'watoto' wawili, tumechooooookaaaaaaa!!!! Please baba, stop this madness!!!!!
 
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.................................................! hiyo kesho sikosi
oya mbav zangu asee zimechoka kcheka
 
Jamani hivi sasa hivi ni SAA ngapi? Nimeshaoga na kuvaa SUTI kuelekea ubungo kwa gwajima
 
Back
Top Bottom