Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Mwambie akaleeee mtoto
17333600_509578786096635_9216142885341102080_n.jpg

Mtoto mwenye kadi hii napata ukakasi kuwa amini Uhuru FM bora shiladu hawakurusha hyo kitu.
Hata iweje Daudi aje ajibu tuhuma za vyeti na kutembelea magari ya watuhumiwa wa ngada.
 
Kwa mtindo huu gwajima atajipatia sadaka za kutosha maana ugeni wa wambea utakuwepo kanisan kwake
 
Hiyo kadi ya kliniki,inaonekana kutokamilika kujazwa taarifa za mama,au ndio mwendelezo wa kufoji nyaraka?
Kuna vitu vya kuangalia:
1.zahanati gani au hospitali ilipotolewa hiyo kadi?
2.Kuuliza kama kadi inaweza kuachwa bila kuandikwa taarifa zilizoachwa ?!
 
Back
Top Bottom