Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Kama akipitishwa, atasababisha views za video zake za kule kwenye mapilau kuongezeka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani huyu sijui yukoje Nakuibia siri ujue ata Halima mwenyewe ashajua kuwa pale ana chake ndo maana ashategeshea njia ya kutokeaUsijidanganye ,KAWE ,HALIMA MDEE NA CHADEMA DAMUDAMU
We umeambiwa na nani au ndio mliongea kwenye kile kikao chenu kile, haanguki mtu hapa. Yaani ndo utajua hujuiGWAJIMA ATAANGUSHWA NA MDEE ASUBUHI NA MAPEMA,UTAKUJA KUNIAMBIA
Wewe upo dunia hii kweli watu siku hizi wanapenda mambo hayo sasa wewe kulia nyumbani mwako bila kuwa na kitu cha kukutambulisha kwenye jamii utahishia mtandaoniISITOSHE GWAJIMA ANA SCANDAL MBAYA SANA
Tapeli tupia kule, labda umpigie kura wewe na hazitotosha kumtoa MdeeWewe upo dunia hii kweli watu siku hizi wanapenda mambo hayo sasa wewe kulia nyumbani mwako bila kuwa na kitu cha kukutambulisha kwenye jamii utahishia mtandaoni
Tena Kura ndo kitu rahisi ni kama mtihani wa kuchagua, na sadaka kama mtihani wa kujielezaIla Gwajima akumbuke kazi ya Kuwashawishi watu wakupe kura sio sawa na kazi ya kuwadanganya kondoo wakupe sadaka
Kwenye Kanisa kama lile la Gwajima, kwa kiasi kikubwa una watu wa aiana moja. Watu walio wajinga wa neno la Mungu, watu waliokosa maarifa. Hao unaweza kuwaswaga kama unavyopenda. Kwenye jimbo una mvhanganyiko wa watu wa aina zote, werevu, wenye akili, wajinga, wachambuzi na wapembuzi.Ila Gwajima akumbuke kazi ya Kuwashawishi watu wakupe kura sio sawa na kazi ya kuwadanganya kondoo wakupe sadaka
Heh una attendance list ya kanisani kwake au unahusika na kurekodi takwimu pale? Waumini wakifika wanaripoti kwako au?Sijawahi kuuona umaarufu wa Gwajima.
Huku kwenye kanisa lake, waumini wanazidi kupungua. Wengi wanazidi kuzinduka kutoka usingizi na kutambua kuwa Gwajina ni alama nyingine ya utumishi wa ibilisi.
Uongo wa ufufuaji wa misukule kila mmoja sasa anautambua. Utapeli kwa kutumia neno la Mungu wetu, nao dhahiri. Hata kwenye siasa, nako Gwajima ataumbuka. Aibu ya video za ngono anazofanya na baadhi ya waumini wake ikaja kuthibitisha Gwajima anamtumikia nani.
Huwezi kutapeli kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu, halafu akuache uendelee. Gwajima is in the course of great embarassment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado siku chache sana za ubingwa ndo utajua kuwa na Wale ambao unahisi wako upade wako ndo mashabiki wake wakiimbwe twenzetu gwaji boy Bungeni.Tapeli tupia kule,labda umpigie kura wewe na hazitotosha kumtoa Mdee
Mbona mnaongelea sana saa Za asubuhi ndo maagizo mlopewa kwa mganga wenu kule bagamoyo?Kama mutatumia bunduki na mabomu ya machozi na kumwambia mkuu wa kituo cha tume ageuze matokeo gwajima atashinda na kama hamutaingilia maamuzi ya kituo cha kupigia kura gwajima analia SAA moja asubuhi
Hakuna binti ambae apendi mwanaume ambae yupo Fiti kwa kazi ile ya mke na mme wewe ukoje jombaaaaaKuna wimbo naupenda " TAPELI LA MAPENZI"
Mbona aliangushwa na yule kondoo wa zizini mwake akawa anagugumia taratibu huku mkono kaukunja kama baunsa? Au unataka clip?Daa zinduka nikuibie siri toka haraka kuwaza ivyo, Gwajima ajawahi kuangushwaga na mtu wakati wowote, mimi nshashutukia mchezo.
Nimesema, he is in the course na siyo kama ulivyoandika.Heh una attendance list ya kanisani kwake au unahusika na kurekodi takwimu pale? Waumini wakifika wanaripoti kwako au?
Unabisha tu bure nani hamjui mzee wa kuamsha dude? Elimu ya bashite ulipewa wapi wewe kama sio unabisha bure?
He is the course of embarrassment [emoji23][emoji23] are you happy with your English ipeleke huko village kwenu.
Amemtapeli nani? Ungeanza kuwa-attack hao wanaouza maji, chumvi na mafuta. Akutapeli kwa lipi you uncultured shwine
Hata alipokuwa mshenga wa kumleta Lowasa chadema ulikuwa na ukiwahi kupata ujasiri wa kusema haya?Tapeli na mhuni hawezi kuumiza vichwa vya wanaojitambua labda vya MAZWAZWA tu. Njaa kali imemkimbiza kanisani baada ya sadaka kukata.