ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Ushawishi wake labda huko Biharamhulo lakini si kwa watu wanaojitambua wa Kawe!Huyu jamaa ni mtu mmoja mwenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania.
Uwezo wake wa kupanga hoja na kupangua mashambulizi ni wa kiwango cha juu.
Ni asset kubwa katika nchi hii