Uchaguzi 2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

Uchaguzi 2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

Huyu jamaa ni mtu mmoja mwenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania.

Uwezo wake wa kupanga hoja na kupangua mashambulizi ni wa kiwango cha juu.

Ni asset kubwa katika nchi hii
Ushawishi wake labda huko Biharamhulo lakini si kwa watu wanaojitambua wa Kawe!
 
MTU yuleee hafai yuleee ,kwa madawa yulee, kwa Ngono yuleeee na apeigwe yuleeeeeeeeee.
 
Nadhani mnajisahau sana. Kawe siyo jimbo la kijijini ambapo watu wanadanganyika hivyo. Ndiyo maana wanasupport upinzani. Gwajima Ana nini la kuwaambia watu wa Kawe kuwa atawapelekea ndege ama chakula. Kawe haina shida hizo aende nyumbani kwao alikozaliwa ndipo awadanganye hao!
 
GWAJIMA ATAANGUSHWA NA MDEE ASUBUHI NA MAPEMA,UTAKUJA KUNIAMBIA
Mkuu unasema kweli? Ebu toa hoja zako za msingi.

Mimi Gwajima simkubali sana, lkn ukiangalia kukubalika kwake, amempita sana Mdee. Mdee kwa miaka 10 watu wengi wanalalamika. Wanasema amekuwa mbunge wa kuhudhuria tu vikao vya bunge na kuongoza migomo lkn jimboni hawamuoni.

Ukipita kwa wazee wa Kawe, wameishaamua kabisa kumnyanganya jimbo Mdee.

Yaani sijui Gwajima amewapa nini watu wa Kawe. Mimi nina rafiki zangu wanakaa Boko na Bunju wanasema kule kila mwanaCCM anasema Gwajima ndio chaguo lao.
 
kudamademede,

Wala rushwa nyinyi, sio kwa misifa n micomment iliyodesigniwa namna hii. Sio bure, mtakuwa mmelipwa mummcampaignie online. As much as I don't follow politics that much, I do know that it is crystal clear to everyone that Halima mdee has no serious competitor to pose a threat to her. So jiangalieni, mnatuharibia nchi
 
Heh una attendance list ya kanisani kwake au unahusika na kurekodi takwimu pale? Waumini wakifika wanaripoti kwako au?
Unabisha tu bure nani hamjui mzee wa kuamsha dude? Elimu ya bashite ulipewa wapi wewe kama sio unabisha bure?
He is the course of embarrassment 😂😂 are you happy with your English ipeleke huko village kwenu.

Amemtapeli nani? Ungeanza kuwa-attack hao wanaouza maji, chumvi na mafuta. Akutapeli kwa lipi you uncultured shwine
Yani hizo fikra za mwenzio ndio umezishadidia hadi kuharibu kukikosoa Kingereza chake badala ya kumpinga Kwa hoja mantiki, kweli kuna jambo nyinyi watu mnataka kuliforce.

Aya, hakusema "he is the course of embarrassment," bali "he is in the course of embarrassment." Alimaanisha, Gwajima yupo kwenye mwelekeo wa kujiaibisha kichwakichwa.
 
Chakaza,

Usiichafue CCM kwa uwezo wako finyu wa kufikiria. Huu unaoufanya ni uchochezi na unaweza ukafungwa n serikali io io inayoongozwa n ccm.

Staki unafki, kama ninavyojua na kutamani magu arudi mjengoni, basi ningependa mdee arudi tena mjengoni. Allah bless
 
Usiichafue ccm kwa uwezo wako finyu wa kufikiria. Huu unaoufanya ni uchochezi na unaweza ukafungwa n serikali io io inayoongozwa n ccm.
Staki unafki, kama ninavyojua na kutamani magu arudi mjengoni, basi ningependa mdee arudi tena mjengoni. Allah bless
Hayo aliyasema Gwajiboy mwenyewe Mkuu...
Anadhani watu wamesahau au wakati anayasema alikuwa bwaksi?
 
Mkuu unasema kweli? Ebu toa hoja zako za msingi.

Mimi Gwajima simkubali sana, lkn ukiangalia kukubalika kwake, amempita sana Mdee. Mdee kwa miaka 10 watu wengi wanalalamika. Wanasema amekuwa mbunge wa kuhudhuria tu vikao vya bunge na kuongoza migomo lkn jimboni hawamuoni.

Ukipita kwa wazee wa Kawe, wameishaamua kabisa kumnyanganya jimbo mdee.

Yaani sijui Gwajima amewapa nini watu wa Kawe. Mimi nina rafiki zangu wanakaa Boko na Bunju wanasema kule kila mwanaCCM anasema Gwajima ndio chaguo lao.
Kila MwanaCCM?
 
Gwajima si yule alikuwa anakula mdada fulani mzuri? Ila alifaidi kama ndio huyo.
 
Huyu jamaa ni mtu mmoja mwenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania.

Uwezo wake wa kupanga hoja na kupangua mashambulizi ni wa kiwango cha juu.

Ni asset kubwa katika nchi hii
Ila hawezi jibu hoja yeyote kuhusu CCM
 
Huyu jamaa ni mtu mmoja mwenye ushawishi mkubwa hapa Tanzania.

Uwezo wake wa kupanga hoja na kupangua mashambulizi ni wa kiwango cha juu.

Ni asset kubwa katika nchi hii
Ni kweli ana ushawishi sana hasa kwa mahouse girl na wanaofanana nao
 
kudamademede,

Gwajima kama akichaguliwa kuwania ubunge via CCM basi atapigiwa kura na waamini wake wanaoishi jimbo la kawe tu ambao ni wachache sana pili atapigiwa kura na wacheza porno wenzake kina mwijaku!! Mziki wa Halima hata Jiwe akigombea Kawe anatemeshwa kiazi cha moto saa mbili asubuhi kabla misa ya kwanza haijaisha.
 
Anafikiri wapiga kura nao Ni wajinga Kama waumini wake
 
Back
Top Bottom