Mwaisa sokapa
Member
- Jul 13, 2020
- 91
- 20
Hiyo damu itakuwa ya kunguni baada ya Gwajiboy kuchukuwa jimbo na huyo Mdee wako akibahatika kupata viti maalum basi ashukuru Mungu.Usijidanganye ,KAWE ,HALIMA MDEE NA CHADEMA DAMUDAMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo damu itakuwa ya kunguni baada ya Gwajiboy kuchukuwa jimbo na huyo Mdee wako akibahatika kupata viti maalum basi ashukuru Mungu.Usijidanganye ,KAWE ,HALIMA MDEE NA CHADEMA DAMUDAMU
Gwajima hana mpinzaniKawe Ni Mdee tu, hao wengine kelele
Jamaa hajakurupuka. Ameoteshwa yan! Kwaiyo hainaga kufeliiii [emoji28][emoji38][emoji38]ISITOSHE GWAJIMA ANA SCANDAL MBAYA SANA
Usijidanganye ,KAWE ,HALIMA MDEE NA CHADEMA DAMUDAMU
Wewe bwabwaja tu ila fahamu kelele za chura huwa hazimzuii tembo kunywa maji.Kawe Ni Mdee tu, hao wengine kelele
Ww ndiyo muhesabu sadaka hadi umejua sadaka zimekata au unaongea tu?Tapeli na mhuni hawezi kuumiza vichwa vya wanaojitambua labda vya MAZWAZWA tu. Njaa kali imemkimbiza kanisani baada ya sadaka kukata.
Wewe ndiyo unadaftari la majina ya waumini wote hadi ujue wamepunguwa?Sijawahi kuuona umaarufu wa Gwajima.
Huku kwenye kanisa lake, waumini wanazidi kupungua. Wengi wanazidi kuzinduka kutoka usingizi na kutambua kuwa Gwajina ni alama nyingine ya utumishi wa ibilisi.
Uongo wa ufufuaji wa misukule kila mmoja sasa anautambua. Utapeli kwa kutumia neno la Mungu wetu, nao dhahiri. Hata kwenye siasa, nako Gwajima ataumbuka. Aibu ya video za ngono anazofanya na baadhi ya waumini wake ikaja kuthibitisha Gwajima anamtumikia nani.
Huwezi kutapeli kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu, halafu akuache uendelee. Gwajima is in the course of great embarassment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Mungu mpaka useme hana Uaskofu wowote?Hana uaskofu wowote huyo wewe ni mhuni tu na tapeli. Fungua akili yako.
Ww ndiyo muhesabu sadaka hadi umejua sadaka zimekata au unaongea tu?
Muda bado tutajua Zwazwa ni nani.
Anamfuta mzee wa upako kwisha habari yake, utapeli una mwishoSijawahi kuuona umaarufu wa Gwajima.
Huku kwenye kanisa lake, waumini wanazidi kupungua. Wengi wanazidi kuzinduka kutoka usingizi na kutambua kuwa Gwajina ni alama nyingine ya utumishi wa ibilisi.
Uongo wa ufufuaji wa misukule kila mmoja sasa anautambua. Utapeli kwa kutumia neno la Mungu wetu, nao dhahiri. Hata kwenye siasa, nako Gwajima ataumbuka. Aibu ya video za ngono anazofanya na baadhi ya waumini wake ikaja kuthibitisha Gwajima anamtumikia nani.
Huwezi kutapeli kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu, halafu akuache uendelee. Gwajima is in the course of great embarassment.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣 mleteni huyu Gwajima tuwaonyeshe namna tunadeal na Porn StarsNdiyo mmeishaanza kutishika unataka watishwe mara ngapi?
Eti ni hatari CCM mumebakia vilaza tu, AMFIFIRO anashindwa kujibu maswali ya wanahabari anabakia itoshe.. Itoshe[emoji23][emoji23][emoji23]Oh uko Sahihi KABISA Mkuu, Gwajima anapambaa Moto ,Nchi nzima imezizima ,KILA blogs za mtandao Ni Gwajima TU ,Yule jamaa Ni hatari aisee
Magu ndo anagawa majimbo?Mzee magu we gwaj atakua msaada mkubwa saaana kwenye taifa letu kwa ujumla na namuona anafaa saaana
MPE jimbo lake uone mambo yatakavokua motomoto
Aliwahi kuangusha na maofisa upelelezi wakati wa mahojiano, akapoteza fahamu? Na kuwahishwa hospitalDaa zinduka nikuibie siri toka haraka kuwaza ivyo ,Gwajima ajawahi kuangushwaga na mtu wakati wowote,,mimi nshashutukia mchezo.