Uchaguzi 2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani


Member wapya wa mwezi 7 mna speed,hahah.
 
Hiyo imeishaa hapo Kawe Gwajima Hana mpinzaniiii ,Akili kubwa ile Nani anaweza Kushindana Nayo ,wamuachie TU Kawe
Kama misukule yake ya kanisani kwake uchwara inapiga kura sawa nan amchague pornstar aka mfiraji na muuza madawa labda wapumbavu wa Lumumba.
 
Kawe ya wapi unayoiongelea? Naishi jimbo la Kawe kwa zaidi ya miaka 15. Gwajima hawezi kupitishwa hata ndani ya CCM.

Hata waumini wa kanisa lake, wengi siyo wakazi wa jimbo la Kawe. Wengi wao ni watu wenye ujinga wa aina fulani. Hakuna mtu mwenye akili timamu kabisa ambaye anaweza kuwa muumini wa Gwajima.

Gwajima ni comedian, siyo kiongozi wa dini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamsaidia Halima Mdee apite kama radi
 
Uchochezi UPI sasa? mbona hujauonyesha hapa umeishia kunitisha utafungwa tuu?
Ona sasa hapa natetemeka kwa woga wa kufungwa kwa kuichafua CCM inayotaka kumsimamisha kugombea ubunge mzee wa Uno kupitia mkono wa baunsa!
 
Naona unampamba Gwajima, Atashinda kama kura zinapigiwa kanisani kwake, Vinginevyo tulia sindano iingie vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…