The fact ya kwamba jitu tapeli kama Gwajima linaamini linaweza kuwa Rais ...inaonesha jinsi wanasiasa uchwara wanavyo dharau wananchi
Atayeshawishika na lolote kutoka kwa Gwajima atakuwa mtu wa ajabu sana !
Tangu umalize la nne upe unahisi unweza kuwa mchambuzi wa siasaTangu Yule jamaa awe Rais ...Sasa Kila mmoja anahisi anaweza.Ngoja utashangaa na wengine wengi ambao hata familia zao tu wameshindwa ziongoza
Mmoja wapo ni wewe na nyumbu wenzioTanzania ina watu wengi wa ajabu ajabu sana na wanaweza kukushangaza.
Hata angekuwa nazo Sukuma gang watasubiri sana.Sawa ila hana hela ya kupurukushana kwenye urais.
Inahitaji akili za mwendawazimu kumuamini Gwajima. Alidanganya kanuanua treni hadi kimya,alidanganya kumfufua Amina Chifupa hadi hajafanya hivyo.Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.
Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.
Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.
Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.
Jumapili njema.
Kwavile huyu ni mtu wa Mungu, inawezekana kabisa sauti hii ni kweli Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke basi Gwajima nae atakuwa ameambiwa, hivyo sasa anajiandaa ili na yeye ajaribu bahati yake.Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020
Jumapili njema.
Gwaji boy anatarget 2030 ila namuonea huruma anakumbukumbu mbaya na kibaya zaidi hana pesa ya kushndana na kina nape, January au kina madilu..
Jamaa anapesa kibao. sadaka na mafungu ya kumi ya waomini, mpaka anamiliki helkopta! Sema ubunge mwisho 2025. kupata tena labda Magu afufuke
2020 alishinda kwa ubabe wa JPM ila 2025 maana alikua watatu kura za maoni ila waka force kumpa ubunge sababu JPM alilazimisha. Sasa chama kimerudi kwa Kikwete mtu ambaye haziivi na Gwajima kabisa so hakuna namna atapitishwa na Samia kugombea ubunge 2025.Watu wanaosema hatoshinda ubunge Kawa ndo hao hao wanamuhofia urais,
Punguzeni HOFU, uchaguzi Bado sana.
Kamati kuu ipi? Mwenyekiti wa CCM ndio Kila kitu hao wengine ni washereheshaji tu. Jerry Slaa alikua kamati kuu ila Bado aliangushwa ubunge.Kumbuka yuko jikoni kamati kuu ya Chama usiongee sana!
Gwajima kukatwa jina sahau tena unajidanganya! Gwajima undani ya CCM ananguvu kuliko Mwigulu na Makamba Jr! Kamati kuu imkate member wakati wakiwa wanajadili majina yumo?Kamati kuu ipi? Mwenyekiti wa CCM ndio Kila kitu hao wengine ni washereheshaji tu. Jerry Slaa alikua kamati kuu ila Bado aliangushwa ubunge.
Hana nini?Gwaji boy anatarget 2030 ila namuonea huruma anakumbukumbu mbaya na kibaya zaidi hana pesa ya kushndana na kina nape, January au kina madilu..
Yule mwenye waraka wa kuwashughulikia wote wale watakaombeza JPMWakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.
Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.
Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.
Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.
Jumapili njema.
Mwache Gwaji Boy, yeye anahubiri injili😎Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.
Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.
Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.
Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.
Jumapili njema.
Duh, Mkuu 'zitto junior', sasa ni wazi kwamba mama Samia kakuchota akili yote kabisa!Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.
Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.
Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.
Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.
Jumapili njema.
Hata akiwarahisishia kazi CHADEMA kufanya aliyofanya 'Hichilema', au ninakusoma visivyo!Atayeshawishika na lolote kutoka kwa Gwajima atakuwa mtu wa ajabu sana !