Gwajima na mikutano ya kimkakati kuelekea 2025: Je, itazaa matunda?

Gwajima na mikutano ya kimkakati kuelekea 2025: Je, itazaa matunda?

Sasa kamshitaki kama anavunja sheria, huwezi kumshauri mtu amabye yupo kamati kuu anawashauri wazuri ndani ya chama wakumshauri.
Wasi wasi wako ni nini kama anapoteza hela zake!?
Wasiwasi wake ni kumharibia Samia. Huo ndio ujumbe maalum unaoukosa katika mada yake.
 
Ningeanzisha Uzi Mpya hapa lakini ngoja tu ni-comment what Gwajiboy anafanya. Gwajima ameambiwa na wavaa mawani mieusi kwamba 2025 ndio mwisho wa Kassim Majaliwa kuwa PM maana hawezi tena kuendelea na kipindi cha pili Cha Samia hivyo yeye kwa kuwafuta machozi Sukuma Gang atateuliwa kuwa PM. Baada ya mikutano yake mchana usiku hufanya vikao na wadau muhimu wa CCM na kuwaeleza kuwa "Niko na Samia bega Kwa bega lakini mfahamu Mimi nitakuwa mrithi wa Majaliwa 2025 nimehakikishiwa na system".
 
Samia ashindwe kuharibiwa na kina marope february, madelu na nepi aharibiwe na mtu mwenye wafuasi wake kwenye dini
Haya ya akina Nape/Marope mimi siyajui, nilichochangia hapo ni kukufafanulia kilichomo ndani ya mada inayojadiliwa hapa.
 
Haya ya akina Nape/Marope mimi siyajui, nilichochangia hapo ni kukufafanulia kilichomo ndani ya mada inayojadiliwa hapa.
Amemharibia nini eleza, kama amewekwa kwenye mabango nchi nzima sio mpirani sio wapi
 
Amemharibia nini eleza, kama amewekwa kwenye mabango nchi nzima sio mpirani sio wapi
Duh!
Naona umekaza shingo kweli kweli. Sasa unataka mimi niwe mshiriki katika mada ambayo sikuwa muhusika kuileta, na unashindwa kuelewa ninachokufafanulia ili uelewe alicholenga mleta mada?

Nadhani kuna hitilafu katika uelewa wako kuhusu unachokisoma, kama siyo kukurupuka tu na hisia ulizoziweka akilini mwako hata kabla ya kuelewa ulichokisoma.

Sasa ukitaka tuendeleze mjadala huu pembeni mwa mada yenyewe, tutajadili tu usiwe na wasiwasi.
 
Wasiwasi wake ni kumharibia Samia. Huo ndio ujumbe maalum unaoukosa katika mada yake.
Inaonekana mada hujaelewa, mbona nimeonya kuwa CCM hakuna demokrasia so aache maigizo either afanye mikutano ya injili halisi au afanye siasa wazi wazi ila haya maigizo hayatofanikiwa sababu fomu itaprintiwa Moja tu. Ndio maana nimeshauri aanzishe chama au ajiunge upinzani anaweza fikia ndoto yake ya kuwa mgombea Urais lakini hakuna mahala nimesema ni serious contender au lah.
 
Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.

Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.

Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.

Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.

Jumapili njema.
Hakuna wa kumshinda Samia 2025 hata Sukuma gang na Chadomo wooote waungane.
 
Imebaki tu kutamka siku moja bayana hapa kwamba CHADEMA hawana sababu tena ya kuweka mgombea wao kushindana na huyo mama
Ina maana hujaona concern yangu ya Gwajima kufanya mikutano ya ku counter Chadema nyanda za juu? Why would I be concerned na Hilo if at all I'm a Samia fanatic?
Mimi napendekeza uwasihi CHADEMA waungane na hii CCM anayoitengeneza sasa hivi Samia
Why tuungane na chama dhaifu? CCM is unpopular, and Samia is unpopular kabisa huku bara. So hakuna uchaguzi mrahisi kwa Chadema kama 2025 with or without tume huru. Kinachoendelea sahivi ni juhudi tu za kupata uchaguzi huru na haki ila hatuna Mpango wowote wa kufungamana na CCM maana Haituongezei lolote kwenye kura za 2025..
Duh, Mkuu 'zitto junior', sasa ni wazi kwamba mama Samia kakuchota akili yote kabisa!
Tatizo Moja huelewi, Mimi kukosoa Sukuma gang au kuwa critic wa JPM does not necessarily make me kulamba asali/mfuasi wa Samia. Ni sawa na mtu akikosoa ukristo eti lazima ni muislam??. Nachojua Samia is better than JPM in leadership style but Urais kafeli na atupishe Chadema 2025 soma nyuzi zote kuhusu ripoti ya CAG huo ndio msimamo wangu.
 
2020 alishinda kwa ubabe wa JPM ila 2025 maana alikua watatu kura za maoni ila waka force kumpa ubunge sababu JPM alilazimisha. Sasa chama kimerudi kwa Kikwete mtu ambaye haziivi na Gwajima kabisa so hakuna namna atapitishwa na Samia kugombea ubunge 2025.

Na hata akipitishwa, Akipambanishwa na yeyote kutoka upinzani basi Jimbo atalipoteza maana hamna alichofanya mpaka Sasa zaidi ya kuzurura tu kwenye mikutano feki ya injili.

Na ndio maana tunamshauri aanzishe chama otherwise his political career is facing an imminent capitulation into eternal oblivion.
Kama Gwajima angekuwa na HOFU na Jimbo, mikutano yake ingejikita jimboni kawe.

Huyo unayemsemea chama kimerudi mikononi mwake, Hana nguvu uliyofikiri anayo.

Vita imepiganwa ktk spiritual realm na muungu wa hao amenyanganywa mamlaka.

Kuanzia sasa Hadi 2025 ni mbali sana, waliyoyaona yajayo wanaotamani hata kuikimbia Nchi bt hakuna sehemu itakayokuwa na Utulivu duniani Kwa sasa kuanzia mwaka huu Hadi 2030.

Tusubiri.
 
Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.

Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.

Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.

Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.

Jumapili njema.
Hii nchi ambavyo ni ya ajabu siwezi kushangaa siku moja ngwajima kuwa raisi wa nchi hii. Jamaa ana sound yule hakuna dunia nzima. Alianza kufufua misukule hadi kwenye kampeni kawapiga sound boda boda wa kawe.
 
Wasiwasi wake ni kumharibia Samia. Huo ndio ujumbe maalum unaoukosa katika mada yake.
Anajua ikitokea CCM wakabadili mgombea CDM haitoboi,

wanaAMINI sa100 ni dhaifu watamtoa kirahisi,

Wanasahau kuwa CCMM Si chama Cha siasa ni DINI tu kama dini zingine😃😃
 
Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.

Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua huko huko Mbeya na Songwe akifanya mikutano ya injili Ili ku counter upepo wa Chadema muda ule. Na sio tu huko amelekea Kanda ya ziwa almost yote, Kanda ya kati, nyanda za juu kusini na Sasa yupo Kusini. Mikutano hii inafanyika ikiwa na mrengo wa kujibrand kama mwanasiasa wa kitaifa na alternative ya 2025 hasa kwenye Urais.

Nasema hivi sababu kwa mara ya kwanza Gwajima amezunguka almost 60% ya wilaya ya nchi hii na kote huko anafanya mikutano ya injili huku akimpigia kampeni Samia na CCM!! ila mwenye akili timamu anajua ni kujibrand Ili siku akitangaza Nia basi awe na capital ya wapiga kura wengi.

Labda nimshauri tu Gwajima kama anataka kumchallenge Samia aanzishe chama au ahamie hata CHAUMMA ila huko CCM fomu itaprintiwa Moja tu kama 2010 na 2020 so asipoteze muda na hayo maigizo ni either ahubiri injili ya kweli au ajitokeze wazi afanye mikutano ya kisiasa Kila Jimbo ila kujificha nyuma ya kivuli Cha injili haitomsaidia kitu.

Jumapili njema.
Najua HOFU Yako ilipo,

Kwamba amezunguka 60% ya wilaya zote,

Pia HOFU ingine inayokutatiza ni umati mkubwa unaompokea wa watu wa Kila kundi.

HOFU Yako ingine ni Umati huo hausombwi Kwa maroli au kuvutwa Kwa RUSHWA kama ambayo CCM imekuwa ikifanya before.

HOFU ingine mtu unayemuongelea analijua CDM nje ndani.

HOFU Yako ni ya msingi, bt itoshe kusema 2025 BADO mbali hivyo tupunguze HOFU.
 
Acha ajaribu bahati yake..
Unaijua CCM vizuri lakini??
Muulize LOWASA atakuambia CCM ni Nini..
 
Gwajima ni mtu makini sana Hilo halina ubishi.

CCM Kwa kweli isipoangalia itaingia kwenye siasa rasmi 2025.

CCM kikiwa Chama Cha kisiasa kama kilivyosajiliwa ni wazi kuwa kiraungama na vyama vingine vya siasa kwenye kampeni za Urais 2025.
CCM kukubali TU kuwa Sasa hakuna haja za kulinda Neno CCM huku nchi ikiwa inaangamizwa na wale wanaojifanya kuwa ni wamilimi wa Neno au Jina Hilo CCM .
Najiuliza hivi CCM ikisambaratika au ikifa Kada Fulani atakufa, au KJ atakufa Kwa sababu CCM imekufa, au Wanachama wake watakufa au nchi ya Tanzania itaondoka kwenye Ramani ya Dunia?
Jibu ni hapana ,CCM ni chama kama kilivyo chama kingine chochote.

Nilikua nataka kusema kuwa, Wale wanaCCM na hata wapinzani na waumini wa dini zote nchini ambao Kwa nafsi zao na Kwa dhati kabisa waliwahi kusimama hadharani na kumsifu Magufuli Kwa mambo aliyoyafanya na Kwa jinsi alivyowakemea wezi na kuwaondoa kwenye nafasi za uongozi wale walofisidi fedha za umma basi 2025 wajitokeze wazi kabisa Kupinga kundi la walamba asali kuendelea kushika uongozi kwenye nchi hii. Wasimame kidedea bila kupepesa macho watuletee watu wenye uwezo wa kukemea Wahalifu na kuwafukuza wezi kwenze ofisi za umma .
Itakua ni unafiki mkubwa wanaCCM wengi ambao Leo kama sio JPM wasingerudi Bungeni Wala kwenze udiwani Wala kwenye serikali za mitaa kukubali kakundi ka watu wachache watumie fedha kumchagua JPM na uadilifu wake na uzalendo wake.
Kukaa kimya JPM atukamwe na kuitwa mwizi ni kuliua Taifa hili na kujenga Taifa la hovyo kabisa Duniani.
Leo hii hakuna mtu anayeweza Tena kuwa muadilifu popote Kila anapotafakari kuwa kama JPM akiyejitoa mhanga kwa ajili ya N chi hii anakashifiwa na kikundi Cha watu wachache waliokalia fedha za umma na kuzichezea wanavyotaka huku wakiwagawia pesa wapinzani ili nao watumie muda Mwingi kumtukana na kukejeli kazi alizozifanya Hayati JPM.
Haiwezekani kuwa na Taifa linaloenzi wizi na kuwadharau mashujaa wake Kwa sababu TU Kuna kikundi Cha watu kimeamua kutumia Chama Cha Mapinduzi kumiliki hii nchi . Hapana.

Kama Kuna sijui Sukuma Gang ,sijui Gwajima Gang , sijui Wamachinga , Sijui wajasiriamali wadogo, sijui madereva bodaboda, sijui ,wanyonge wote na wale wote wanaopinga vitendo vichafu vya ushoga Kwa dhati kabisa , wachukia ufisadi wote ni vyema kabisa waungane waichachafye CCM bila kujali kuwa itaanguka au itasambaratika lakini walimusuru Taifa hili na kesho ya vizazi vyetu.

CCM hii na serikali yake ni hatari kubwa sana Kwa Taifa hili.
Gwajima anajitahidi kuihubiri Injili ili anagalu watawala na Wananchi waamke na kusimama katika Haki na uadilifu na kutenda mema Kwa ajili za wanyonge.

Tumuombe Rais Mh. Samia alinusuru Taifa hili Kwa kujitenga na siasa chafu za kutumia nguvu kubwa ya fedha na Dola kuilinda CCM na urais wake.
Mungu alikomfikisha ni pakubwa sana . Makamu wa Rais miaka Mitano, Rais miaka minne ni heshima kuwana sana na jambo kubwa sana Mwenyezi Mungu alilomjalia. Wala asitumie hila yoyote kukufuru na kuharibu heshima kuwa aliyotunukiwa na Mwenyezi Mungu katika nafasi za juu kabisa katika Taifa hili.

Mungu akikujalia kuwa juu kabisa hata Kwa Mwaka mmoja basi ni jambo la kushukuru sana na heshima kubwa.

Watanzania tunaimani kubwa sana na Uadilifu na Uzalendo wa Mh. Mpina, Mh.Msukuma , Polepole, Kabudi, Lukuvi, Kishimba, Lisu, John Mnyika, Heche, Msigwa, Lema, Dr.Slaa , Wakili Kibatara ,Wakili Madereka, Mtaka, Majaliwa Kasimu , Mkuu wa Majeshi mstaafu Mabeyo,Gwajima ,Rais Hussein Mwinyi na Philip Mpango, Warioba, Makongoro Nyerere , Joseph Sokoine . Hatuna mashaka na uadilifu wao kabisa.
 
Gwajima ni mtu makini sana Hilo halina ubishi.

CCM Kwa kweli isipoangalia itaingia kwenye siasa rasmi 2025.

CCM kikiwa Chama Cha kisiasa kama kilivyosajiliwa ni wazi kuwa kiraungama na vyama vingine vya siasa kwenye kampeni za Urais 2025.
CCM kukubali TU kuwa Sasa hakuna haja za kulinda Neno CCM huku nchi ikiwa inaangamizwa na wale wanaojifanya kuwa ni wamilimi wa Neno au Jina Hilo CCM .
Najiuliza hivi CCM ikisambaratika au ikifa Kada Fulani atakufa, au KJ atakufa Kwa sababu CCM imekufa, au Wanachama wake watakufa au nchi ya Tanzania itaondoka kwenye Ramani ya Dunia?
Jibu ni hapana ,CCM ni chama kama kilivyo chama kingine chochote.

Nilikua nataka kusema kuwa, Wale wanaCCM na hata wapinzani na waumini wa dini zote nchini ambao Kwa nafsi zao na Kwa dhati kabisa waliwahi kusimama hadharani na kumsifu Magufuli Kwa mambo aliyoyafanya na Kwa jinsi alivyowakemea wezi na kuwaondoa kwenye nafasi za uongozi wale walofisidi fedha za umma basi 2025 wajitokeze wazi kabisa Kupinga kundi la walamba asali kuendelea kushika uongozi kwenye nchi hii. Wasimame kidedea bila kupepesa macho watuletee watu wenye uwezo wa kukemea Wahalifu na kuwafukuza wezi kwenze ofisi za umma .
Itakua ni unafiki mkubwa wanaCCM wengi ambao Leo kama sio JPM wasingerudi Bungeni Wala kwenze udiwani Wala kwenye serikali za mitaa kukubali kakundi ka watu wachache watumie fedha kumchagua JPM na uadilifu wake na uzalendo wake.
Kukaa kimya JPM atukamwe na kuitwa mwizi ni kuliua Taifa hili na kujenga Taifa la hovyo kabisa Duniani.
Leo hii hakuna mtu anayeweza Tena kuwa muadilifu popote Kila anapotafakari kuwa kama JPM akiyejitoa mhanga kwa ajili ya N chi hii anakashifiwa na kikundi Cha watu wachache waliokalia fedha za umma na kuzichezea wanavyotaka huku wakiwagawia pesa wapinzani ili nao watumie muda Mwingi kumtukana na kukejeli kazi alizozifanya Hayati JPM.
Haiwezekani kuwa na Taifa linaloenzi wizi na kuwadharau mashujaa wake Kwa sababu TU Kuna kikundi Cha watu kimeamua kutumia Chama Cha Mapinduzi kumiliki hii nchi . Hapana.

Kama Kuna sijui Sukuma Gang ,sijui Gwajima Gang , sijui Wamachinga , Sijui wajasiriamali wadogo, sijui madereva bodaboda, sijui ,wanyonge wote na wale wote wanaopinga vitendo vichafu vya ushoga Kwa dhati kabisa , wachukia ufisadi wote ni vyema kabisa waungane waichachafye CCM bila kujali kuwa itaanguka au itasambaratika lakini walimusuru Taifa hili na kesho ya vizazi vyetu.

CCM hii na serikali yake ni hatari kubwa sana Kwa Taifa hili.
Gwajima anajitahidi kuihubiri Injili ili anagalu watawala na Wananchi waamke na kusimama katika Haki na uadilifu na kutenda mema Kwa ajili za wanyonge.

Tumuombe Rais Mh. Samia alinusuru Taifa hili Kwa kujitenga na siasa chafu za kutumia nguvu kubwa ya fedha na Dola kuilinda CCM na urais wake.
Mungu alikomfikisha ni pakubwa sana . Makamu wa Rais miaka Mitano, Rais miaka minne ni heshima kuwana sana na jambo kubwa sana Mwenyezi Mungu alilomjalia. Wala asitumie hila yoyote kukufuru na kuharibu heshima kuwa aliyotunukiwa na Mwenyezi Mungu katika nafasi za juu kabisa katika Taifa hili.

Mungu akikujalia kuwa juu kabisa hata Kwa Mwaka mmoja basi ni jambo la kushukuru sana na heshima kubwa.

Watanzania tunaimani kubwa sana na Uadilifu na Uzalendo wa Mh. Mpina, Mh.Msukuma , Polepole, Kabudi, Lukuvi, Kishimba, Lisu, John Mnyika, Heche, Msigwa, Lema, Dr.Slaa , Wakili Kibatara ,Wakili Madereka, Mtaka, Majaliwa Kasimu , Mkuu wa Majeshi mstaafu Mabeyo,Gwajima ,Rais Hussein Mwinyi na Philip Mpango, Warioba, Makongoro Nyerere , Joseph Sokoine . Hatuna mashaka na uadilifu wao kabisa.
Amen.
 
Wasiwasi wake ni kumharibia Samia. Huo ndio ujumbe maalum unaoukosa katika mada yake.
Yaani mwana CDM anadiliki kusema CCM wataprint fomu moja tu kama kwamba ameambiwa Gwajima ametangaza Nia😃😃😃

Tuheshimu tu mawazo ya Kila mtu hata kama yamekaa kinyumbu.
 
Back
Top Bottom