Kuhusu ubingwa!!!
Mpaka Sasa Yanga kabakiza Mechi 8.anatakiwa ashinde mechi zote huku akiombea simba apoteze mechi Tatu, msimamo unakuwa [emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Yanga point 81
Simba 79
Azam 74
Azam kabakisha mechi 8, anatakiwa ashinde zote huku akiombea Yanga apoteze mechi tatu kati ya mechi nane na Simba apoteze Mechi tano kati ya mechi 11 alizobaki nazo
Msimamo unakuwa
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Azam point 74
Simba point 72
Yanga point 71
Simba amebakiwa na Mechi 11 mkononi, ili awe bingwa anatakiwa ashinde Mechi 9 na afungwe Mechi mbili.Wakati huo Yanga na Azam washinde game zote nane
Msimamo unakuwa [emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Simba point 82✓
Yanga Point 81✓
Azam point 74✓
Mpaka Sasa Simba ana 89% ya kuwa bingwa..Mechi 11 mkononi Ni faida kubwa✓
Kabla ya mechi ya leo, apo tumebakisha mechi 10