Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Kweli umeanza kupungukiwa maarifa kabisa kichwani mwako.Watoto wa makanyaboya hao
Wazazi wao wale pangu pakavu
Mzazi anayejielewa hawezi kumuweka mtoto wake hapo akawa anapiga ngondi
Ova
Sana SanaInasikitisha sana wakuu
Mimi sisifii bali naongea ukweli tu.Unasifia sana hata ishu ambazo hazifai kusifia, kijana wa kitanzania anaejitambua hayupo kama wewe Bora hata ungekuwa kama mwijaku au baba levo, Kila siku Huwa nakueleza kuwa humu unapoteza muda tu.....fursa za ccm hazitafutwi kwa kusifia hovyo hovyo Kila kitu...jaribu kutizama background za wote waliopata uteuzi mfano mkuu wa wilaya au ukuu wa mkoa mfano bwana mtanda wa mwanza amechangia katika miradi mingi ya serikali ndio maana Leo hii unamuona yuko pale alipo..
Akiwa Kazini Anasifu Mpaka Ujinga UjingaKunguni,kiroboto,papasi chawa
Watoto wangu unafikiri nawezaKweli umeanza kupungukiwa maarifa kabisa kichwani mwako.
Nani kawapa watoto wadogo hao bunduki?!Ndugu zangu Watanzania,
Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.
Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.
Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.
Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.
Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amesema chochote kuhusu utekaji?Ndugu zangu Watanzania,
Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.
Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.
Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.
Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.
Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hili papai linatujazia server tu kwa mashudu yake ya kuombea uteuziHii nayo ni Habari kweli?
Acha ujinga dogo.Mbubujikwa unatuletea habari za watoto kufundishwa ugaidi wakingali wadogo
Kuna tofauti ipi kati ya kusifia Na kuongea....Mimi sisifii bali naongea ukweli tu.
Ndugu zangu Watanzania,
Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.
Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.
Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.
Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.
Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mnyiha Mwanafunzi Bora wa msituni atishiwi na Sangara Kama hao.Fanya fujo ndio ukione cha mtema kuni.
Ni raha tupu mitaani kwote .Mkuu naona unabubujikwa na machozi ya furaha...
Kaa kwa kutulia dogo acha Mapepe.Hili papai linatujazia server tu kwa mashudu yake ya kuombea uteuzi